Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,536
- 6,561
Tunatia aibu kila mradi unapewa majina ya viongozi wa kisiasa.
Inamaana hamna majina mengine mpaka hao viongozi majina yao yatumike kila sehemu🤔🤔🤔🤔.
Hata kama ndio utamaduni basi tumezidisha kipimo kwakweli.
Na ni uchawa ndio unasababisha yote haya siamini kama hao wahusika walidhamiria au walikua na lengo la hiyo miradi kuitwa majina yao.
Ni unafiki na upambe wa walio chini yao kufanya kama kulipa fadhila kwa wateuzi wao.
Uzi tayari.
Inamaana hamna majina mengine mpaka hao viongozi majina yao yatumike kila sehemu🤔🤔🤔🤔.
Hata kama ndio utamaduni basi tumezidisha kipimo kwakweli.
Na ni uchawa ndio unasababisha yote haya siamini kama hao wahusika walidhamiria au walikua na lengo la hiyo miradi kuitwa majina yao.
Ni unafiki na upambe wa walio chini yao kufanya kama kulipa fadhila kwa wateuzi wao.
Uzi tayari.