Serikali iangalie huduma ya mazishi kwa wasiosali/wasioamini dini

Justine Marack

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
567
1,551
Katika kufanya utafiti wangu binafsi, Nimegundua kuwa Kuna kundi kubwa sana la jamii ambao hawaamini au hawasali katika dhehebu Wala dini yoyote.

Katika kundi hili wapi wengi ambao hulazimika kwenda Makanisani au msikitini kwa sababu moja tu. Sababu kuu ni hofu ya mazishi pindi wanapokufa au kufiwa na wapendwa wao.

Hata Makanisa na misikiti imekua ikitimia kigezo Cha MAZISHI kama njia ya kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katik mambo ya dhehebu lake.

Sas ni wakati maalum wa Serikali au watu binafsi kuanzisha Makampuni ya MAZISHI ili kutoa haki kwa Kila mmoja kustiriwa kadri apendavyo.
 
Katika kundi hili wapi wengi ambao hulazimika kwenda Makanisani au msikitini kwa sababu moja tu.
Sababu kuu ni hofu ya MAZISHI pindi wanapokufa au kufiwa na wapendwa wao.
Hivi mkitaka kulalamikia Ukristo wenu kwani ni lazima muutaje na Uislam?
Hata Makanisa na misikiti imekua ikitimia kigezo Cha MAZISHI kama njia ya kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katik mambo ya dhehebu lake.
Unaweza kuniambia misikiti inatumiaje kigezo cha mazishi kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katika mambo ya dhehebu lake?

Unaujua utaratibu wa Mazishi kwa mujibu wa Uislam?
 
Katika kufanya utafiti wangu binafsi, Nimegundua kuwa Kuna kundi kubwa sana la jamii ambao hawaamini au hawasali katika dhehebu Wala dini yoyote.

Katika kundi hili wapi wengi ambao hulazimika kwenda Makanisani au msikitini kwa sababu moja tu. Sababu kuu ni hofu ya mazishi pindi wanapokufa au kufiwa na wapendwa wao.

Hata Makanisa na misikiti imekua ikitimia kigezo Cha MAZISHI kama njia ya kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katik mambo ya dhehebu lake.

Sas ni wakati maalum wa Serikali au watu binafsi kuanzisha Makampuni ya MAZISHI ili kutoa haki kwa Kila mmoja kustiriwa kadri apendavyo.
Wewe mpumbavu hausali halafu unataka uje kuzikwa na kanisa. Hii mada ya kijinga sana
 
Hivi mkitaka kulalamikia Ukristo wenu kwani ni lazima muutaje na Uislam?

Unaweza kuniambia misikiti inatumiaje kigezo cha mazishi kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katika mambo ya dhehebu lake?

Unaujua utaratibu wa Mazishi kwa mujibu wa Uislam?
Lakini sikuona pahala mleta mada ameonyesha au kujitambulisha kuwa Mkristo wala kulalamika mazishi ya Kikristo.

Sitakosea nikisema unajistukia wewe na hicho ulichokitaja hapo,mleta mada kuzikwa ni kuzikwa tu hakuna atakaekuacha uzagae zagae hovyo.
 
Katika kufanya utafiti wangu binafsi, Nimegundua kuwa Kuna kundi kubwa sana la jamii ambao hawaamini au hawasali katika dhehebu Wala dini yoyote.

Katika kundi hili wapi wengi ambao hulazimika kwenda Makanisani au msikitini kwa sababu moja tu. Sababu kuu ni hofu ya mazishi pindi wanapokufa au kufiwa na wapendwa wao.

Hata Makanisa na misikiti imekua ikitimia kigezo Cha MAZISHI kama njia ya kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katik mambo ya dhehebu lake.

Sas ni wakati maalum wa Serikali au watu binafsi kuanzisha Makampuni ya MAZISHI ili kutoa haki kwa Kila mmoja kustiriwa kadri apendavyo.
...Nadhani Sio Kazi ya Serikali. Ni Kazi ya Wanajamii wafanya Biashara kuiona na kuichangamkia Fursa hiyo...
 
Katika kufanya utafiti wangu binafsi, Nimegundua kuwa Kuna kundi kubwa sana la jamii ambao hawaamini au hawasali katika dhehebu Wala dini yoyote.

Katika kundi hili wapi wengi ambao hulazimika kwenda Makanisani au msikitini kwa sababu moja tu. Sababu kuu ni hofu ya mazishi pindi wanapokufa au kufiwa na wapendwa wao.

Hata Makanisa na misikiti imekua ikitimia kigezo Cha MAZISHI kama njia ya kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katik mambo ya dhehebu lake.

Sas ni wakati maalum wa Serikali au watu binafsi kuanzisha Makampuni ya MAZISHI ili kutoa haki kwa Kila mmoja kustiriwa kadri apendavyo.
Ukiwa na hela utazikwa tu hata kama hujawahi kwenda kanisani mchungaji na wainjilisti watakuja vizuri tu.
 
Wewe labda husali wala huamini kweny dini na uwepo wa Mungu ,je unahofia nn kuhusu kuzikwa?

Tangu uzaliwe ulishawahi kuona maiti imetupww jalalani bila ya kuzikwa ? wasiwasi wa nn na ukifa hujui kitu ....Kawaida lazima uzikwe hata majambazi wanazikwa hata uje nchi ambayo hakuna ndugu zako wala anayekujua utazikwa tu.

Kuzikwa na kukafini maiti ni hali ya binadamu kupeana stara tu kama ubinadamu.
 
Ni nzuri sana hii,inasaidia watu kumrudia mungu wao hata kwa lazima. Unaweza kuona mwanzoni mtu anaenda kuabudu kwa lazima lakini baada ya muda anazoea na kuona ni utaratibu tu kama ilivyo muhim kwa binadamu kwenye suala la kula.

hii ni psychological treatment na hasa ukizingatia sisi ni binadamu kwahyo kujisahahu kupo na kinachofanyika syo kukomeshana kama unavyodai bali ni kukumbushana tu.
 
Ni nzuri sana hii,inasaidia watu kumrudia mungu wao hata kwa lazima. Unaweza kuona mwanzoni mtu anaenda kuabudu kwa lazima lakini baada ya muda anazoea na kuona ni utaratibu tu kama ilivyo muhim kwa binadamu kwenye suala la kula.

hii ni psychological treatment na hasa ukizingatia sisi ni binadamu kwahyo kujisahahu kupo na kinachofanyika syo kukomeshana kama unavyodai bali ni kukumbushana tu.
Ni vema ibada ikawa ni uvuvio toka moyoni na sio kwa manufaa ya mazishi. HUDUMA za mazishi kiserikali zinatoa uhuru kwa mtu kuishi atakavyo.
 
Katika kufanya utafiti wangu binafsi, Nimegundua kuwa Kuna kundi kubwa sana la jamii ambao hawaamini au hawasali katika dhehebu Wala dini yoyote.

Katika kundi hili wapi wengi ambao hulazimika kwenda Makanisani au msikitini kwa sababu moja tu. Sababu kuu ni hofu ya mazishi pindi wanapokufa au kufiwa na wapendwa wao.

Hata Makanisa na misikiti imekua ikitimia kigezo Cha MAZISHI kama njia ya kumkomoa mtu ambaye hajashiriki kikamilifu katik mambo ya dhehebu lake.

Sas ni wakati maalum wa Serikali au watu binafsi kuanzisha Makampuni ya MAZISHI ili kutoa haki kwa Kila mmoja kustiriwa kadri apendavyo.
Kwani shida iko wapi mtu akifa kibali cha mazishi hutolewa sio lazima azikiwe na viongozi wa dini yeyote

Kibali cha mazishi kikitolewa na serikali aweza zikwa hata na familia yake tu

Au akazikwa na mtu mmoja

Serikali usiingize kwenye hayo mambo haina dini na haiwajibiki kuhakikisha mtu.anazikwa kidini au la
 
Ni vema ibada ikawa ni uvuvio toka moyoni na sio kwa manufaa ya mazishi. HUDUMA za mazishi kiserikali zinatoa uhuru kwa mtu kuishi atakavyo.
Nadhani suala la maana halisi ya kuwepo kwa dini linaweza kuwa geni kwako lakini dini inasaidia vitu vingi sana ukiondoa suala la muhim la kuona pepo au kufika mbinguni kama vitabu vya dini vinavyosema.

Dini inamuongoza binadamu kuwa na ubinadamu kama kuwa na matendo mema na fikra chanya kwa binadamu wenzake,wanyama na mazingira ya ulimwengu kiujumla. Kwahyo ikiwa watu hatutakemewa kumrudia Mungu ni wazi kwamba dunia itakuwa na watu wa hovyo sana kuliko unavyofikiri
 
Back
Top Bottom