Serikali iache kudanganya Wananchi, hakuna Elimu Bure

Serikali iache kudanganya Wananchi, hakuna Elimu Bure

Basi una matatizo na uelewa wa falsafa ya Elimu Bure (free education for all) kama ilivyotolewa na UN!

Kwa kukusadidia Elimu bure maana yake ni kwamba Serikali mtoto hatozwi ada ya shule wala michango mingine yote kama Ulinzi wa shule, kulipia mitihani n.k lkn jukumu la kummlea mtoto linabakia kuwa la Mzazi/Mlezi kama vile kumpa chakula, mavazi, maji ya kunywa, kitanda cha kulalia, nyumba ya kuishi, n.k sasa kama pia hauwezi kuyafanya hayo basi nenda ustawi wa Jamii na watamchukuwa mtoto wako kumtafutia wazazi mbadala (adoption) au kumpeleka nyumba ya watoto yatima huko atapata hayo yote!
magufuli hakutoa ufafanuzi juu ya hili aliishia elimu bure tena bure kwelikweli ndiyo maana watu wengi walipotangaziwa kuwa Elimu ni bure walijua kila kitu kinagharamikiwa na serikali.
 
Elimu bure maana yake isilipiwe kama serikali ilivyotangaza lakini watanzania tuliambiwa hatutachangia chochote conversely michango ipo palepale rejea waraka upande wa majukumu ya walezi/wazazi.
Kwahiyo hadi uniform serikali igharamie? Dah! Hii kali.
 
Dunia nzima hakuna popote inapotelewa elimu ya bure, elimu ni ghali sana, kulisha ubongo maarifa na ujuzi gharama yake nani anayeijua??...hizo gharama ambazo hata serikali inazochangia ni kwa ajili ya uendeshaji tu..wanatuhadaa mchana kweupe!! eti "elimu bure"
 
Elimu bure mlijua mpaka chupi za watoto wenu iwanunulie serikali?
 
Sasa wewe unatuambia mambo yanafanyika moshi ushawahi kuona dar kunashule ya kutwa inapika chakula
 
Ninashukuru kwakuona mjadala huu kwasasa umechukua sura ya kitaifa... Mawazo na maono ya wote yanaweza kuwa mawazo na maono mtambuka kwa kadri ulivyojaaliwa uelewa wa Fikra.

Kimsingi bandiko hili kamwe halitokaa lijibiwe kwa wale wenye fikra Hasi wanaowaza muda wote wanapingwa kwasababu za kisiasa.

Tusikubali kuzifungia akili zetu bali tuziruhusu ziwaze kulisaidia Taifa letu.

Hoja ya msingi bado haijajibiwa zaidi ya kuendelea kudhihirisha ukweli ya kuwa haijulikani serikali inasimamia kipi.

Tuendelee na mjadala huenda tukapata jibu mtambuka....
 
Kwanza jiulize maguli kasemaje,waziri kasemaje halabishana nao kwa hoja
 
Kelele za nini??? Mtajijua wenyewe, mnapenda sana kuahidiwa ahidiwa, wanasiasa wakiwaahidi mnalegeaaa,,,, watoa ahadi wenyewe waswahili, tangu lini mswahili akatimiza ahadi, ahadi zinawapumbaza na mnasahau wajibu wenu,
 
Dunia nzima hakuna popote inapotelewa
Ninashukuru kwakuona mjadala huu kwasasa umechukua sura ya kitaifa... Mawazo na maono ya wote yanaweza kuwa mawazo na maono mtambuka kwa kadri ulivyojaaliwa uelewa wa Fikra.

Kimsingi bandiko hili kamwe halitokaa lijibiwe kwa wale wenye fikra Hasi wanaowaza muda wote wanapingwa kwasababu za kisiasa.

Tusikubali kuzifungia akili zetu bali tuziruhusu ziwaze kulisaidia Taifa letu.

Hoja ya msingi bado haijajibiwa zaidi ya kuendelea kudhihirisha ukweli ya kuwa haijulikani serikali inasimamia kipi.

Tuendelee na mjadala huenda tukapata jibu mtambuka....

Acha kulelewa na mwanamke bwege wewe. Mwanaume unapaswa uhudumie familia....sio dume zima unasubiri ugali kutoka kwa mwanamke.
 
tangazo halikueleweka. kusema bure ni bure kabisa
Uelewa wako tu ndio mdogo. Sisi wengine tulielewa kuwa ni ada na michango ndio vimesitishwa....ila mambo ya uniform, pesa ya chakula, madaftari, mabegi na kalamu ni gharama zetu wazazi.

Michango ambayo ilikuwa ikilalamikiwa ni malipo ya mlinzi, pesa ya mitihani kila wiki, pesa ya usafi na vitendea kazi vingine. Pesa za ukarabati wa madawati na majengo ya shule nk. Hii ndio michango iliyokuwa kero kwa wazazi....Na yote imeondolewa.
 
Ninashukuru kwakuona mjadala huu kwasasa umechukua sura ya kitaifa... Mawazo na maono ya wote yanaweza kuwa mawazo na maono mtambuka kwa kadri ulivyojaaliwa uelewa wa Fikra.

Kimsingi bandiko hili kamwe halitokaa lijibiwe kwa wale wenye fikra Hasi wanaowaza muda wote wanapingwa kwasababu za kisiasa.

Tusikubali kuzifungia akili zetu bali tuziruhusu ziwaze kulisaidia Taifa letu.

Hoja ya msingi bado haijajibiwa zaidi ya kuendelea kudhihirisha ukweli ya kuwa haijulikani serikali inasimamia kipi.

Tuendelee na mjadala huenda tukapata jibu mtambuka....
Acha kulelewa na mwanamke. Wanaume wenzako tunapeleka ugali nyumbani....ila wewe mwenzetu unasubiri mwanamke akulishe....Ubwege huo.
 
Acha kulelewa na mwanamke. Wanaume wenzako tunapeleka ugali nyumbani....ila wewe mwenzetu unasubiri mwanamke akulishe....Ubwege huo.
elimu inatolewa bure au sivyo?majukumu ya wazazi yanajulikana.je hoja ya ubure wa elimu ni kuhamishia baadhi ya majukumu ya wazazi kwa serikali?hapo kale enzi zile tuligawiwa hadi madaftari,wino,nk je ndicho alichomaanisha mh rais au la.tujikite kwenye hoja sio kutukana.mtu ahamae kwenye hoja na kuanza kutukana yabidi awekewe alama ya kuuliza.......
 
Lizaboni
Labda nikulize wazazi hawatachangshwa fedha ta chakula ,hasa kwa shule za kutwa ambapo wanakula shulen mchana? Naona hapo kwenye maelezo ya wizara hakuna mahali ameandika kuhusu chakula cha mchana kwa shule za kutwa
kwa hy iyo 1500 aliyoitaja ya chakula ni ya kunulia ubuyu achia akili acha kujadili maendeleo kwa kutumia mihemko kisa mfuasi wa chama fulan
 
Uelewa wako tu ndio mdogo. Sisi wengine tulielewa kuwa ni ada na michango ndio vimesitishwa....ila mambo ya uniform, pesa ya chakula, madaftari, mabegi na kalamu ni gharama zetu wazazi.

Michango ambayo ilikuwa ikilalamikiwa ni malipo ya mlinzi, pesa ya mitihani kila wiki, pesa ya usafi na vitendea kazi vingine. Pesa za ukarabati wa madawati na majengo ya shule nk. Hii ndio michango iliyokuwa kero kwa wazazi....Na yote imeondolewa.
wewe ndo gamba jinga kuliko wote siku magufuli anasema hakuna kutoa michango wanaopinga walikuwepo? wakati kikao cha kupitisha Elimu bure mlikaa mkapitisha kabla ya kuwafafanulia wananchi mkaibuka na Elimu bila michango yoyote kumbe ilikua ni kampeni. acha upumbavu wa kijinga wewe
 
elimu inatolewa bure au sivyo?majukumu ya wazazi yanajulikana.je hoja ya ubure wa elimu ni kuhamishia baadhi ya majukumu ya wazazi kwa serikali?hapo kale enzi zile tuligawiwa hadi madaftari,wino,nk je ndicho alichomaanisha mh rais au la.tujikite kwenye hoja sio kutukana.mtu ahamae kwenye hoja na kuanza kutukana yabidi awekewe alama ya kuuliza.......
Jiulize hiyo kale nani alikuwa anataka kusoma ndiyo maana wakawa wanapewa kila kitu ili kuwashawishi wasome leo hii watu wamejitambua ondoa ada na michango yote watamudu majukumu yake
 
wewe ndo gamba jinga kuliko wote siku magufuli anasema hakuna kutoa michango wanaopinga walikuwepo? wakati kikao cha kupitisha Elimu bure mlikaa mkapitisha kabla ya kuwafafanulia wananchi mkaibuka na Elimu bila michango yoyote kumbe ilikua ni kampeni. acha upumbavu wa kijinga wewe
Mnataka hadi chupi mnunuliwe haya usimpeleke mtoto shule kisa hana uniform
 
Back
Top Bottom