rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,113
- 18,744
acha umbumbu ww,hakuna mwanafunzi aliyekuwa anarudishwa kwa kushindwa kulipa sh 20000 za ada bali pesa za michango,mfano ambao upo hali,mdogo wangu alitoa pesa kiasi cha sh 70000 ktk shule ya sekondar CHAKARURU iliyoko wilaya ya KARAGWE mkoa KAGERA,alitaka alipie mtihan lakin mkuu wa shule akaipeleka ktk upande wa michango kama umeme,ukarabat,taaluma n.k,akikenga kumfanya mzaza,aumie kutafuta pesa nyingne ili mtoto aweze kulipia mtihan,bahat mbaya zikakosa,mpaka sasa mdogo wangu hana matokeo ya mtihan tangu 2013 alipomaliza 4m4
Duu! maajabu....Tangu 2013 mdogo wako wa damu hana matokeo yake wewe upo unajivinjari mtandaoni umeshindwa kumlipia????
hapo elimu kagharamia sijui kama ingekua burebure hata mngekumbuka hiko cheti kweli??