Serikali haramu ikipiga tu picha na kiongozi wa US au ulaya utaona tambo kibao halafu kesho yake wanawanakataa na kupigwa spana yani ni machizi

Serikali haramu ikipiga tu picha na kiongozi wa US au ulaya utaona tambo kibao halafu kesho yake wanawanakataa na kupigwa spana yani ni machizi

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Serikali haramu ikipiga tu picha na kiongozi wa US au ulaya utaona tambo kibao halafu kesho yake wanawanakataa na kupigwa spana yani ni machizi .

Wanajaribu kupiga picha na watu wa ulaya na US ili kututia viini macho bahati nzuri wazungu wamesha washtukia wanawakataa na kuwapiga spana hawa wapumbavu wa nchi.

Na sisi tumewashtukia michezo yao.
 
siyo ulaya tu, hata wakipiga na akina mzee warioba, tambo kibao kuwa mzee warioba ameikubali serekali ya chinjachinja inayoongozwa na agathe na kikundi chake cha akazu, kinachoratibu na kutekeleza uchinjwaji wa watanganyika.
 
na bahati mbaya kwenye ofisi zawatu ukaaji ule sio sawasawa kabisa tushukuru katibu mkuu UN anatokea Argentina
 
Acha viongozi hata wakipiga picha na mzungu kesho watalazimisha Kombo kaongea na Ban Ki Moon.
 
Serikali haramu ikipiga tu picha na kiongozi wa US au ulaya utaona tambo kibao halafu kesho yake wanawanakataa na kupigwa spana yani ni machizi .

Wanajaribu kupiga picha na watu wa ulaya na US ili kututia viini macho bahati nzuri wazungu wamesha washtukia wanawakataa na kuwapiga spana hawa wapumbavu wa nchi.

Na sisi tumewashtukia michezo yao.
kokosa content ni kitu mbaya sana kisaikolijia gentleman :pedroP:

pole sana, dah:pedroP:
 
Back
Top Bottom