DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sawa sawa! Lkn utofauti wa wamalawi na wageni wengine ni usitaarabu na utulivu! Mbona Kuna wageni wengi tu tunaishi nao huku lkn hawana noma kbs, wanajua kuishi na jamii vzr hata kama hawajichanganyi lkn matendo ya wizi na uharifu mwingine huwezi kuwasikia
Hao ukiwaona unaweza kufikiri ni watu wema, kumbe wana roho mbaya na ni wauaji kupita maelezo.
 

Attachments

  • Screenshot_20230511-111443.jpg
    Screenshot_20230511-111443.jpg
    54.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230511-111451.jpg
    Screenshot_20230511-111451.jpg
    55.8 KB · Views: 4
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
"Binadamu wote ni ndugu zangu, Afrika ni moja"
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Ni sahihi hilo la Kukaa wengi chumba kimoja hata mm nilishangaa aisee, yaani wanaume kwa wanawake unakuta wanalala chumba kimoja na mchana sasa watatembelewa na lundo la ndugu, mwananyamala tulishawahi kumpangisha mnyasa na hayo ndio niliyoyaona yaani ni vurugu tupu mpaka unabaki unajiuliza hii inawezekanaje
 
Ni sahihi hilo la Kukaa wengi chumba kimoja hata mm nilishangaa aisee, yaani wanaume kwa wanawake unakuta wanalala chumba kimoja na mchana sasa watatembelewa na lundo la ndugu, mwananyamala tulishawahi kumpangisha mnyasa na hayo ndio niliyoyaona yaani ni vurugu tupu mpaka unabaki unajiuliza hii inawezekanaje
We umenielewa! Kama wamekuja kutafuta maisha ni jambo zuri lkn kutuletea vitamaduni vya kwao huko hapana aisee
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Wachina, Wasomali, wahindi, wapakistan wamejaa hawana vibali, eewe unakkmaa na wamalawi
 
Nimejaribu kuongelea kitu ambacho nimekiona kwa macho yangu. Hao wachina sijui wahindi unawajua ww na matendo Yao mie sijawahi ishi.
Lkn sasa wewe huoni Kuna haja ya vyombo vya Dola kua makini kwa kudhibiti uingiaji haramu wa wageni? Unadhani Nini athari za matendo ya hao wageni kwa jamii yetu?

Tumia akili kidogo tu utajua nachozungumzia Wala sio ubaguzi.

Kuna haja ya kudhibiti Wachina, Waarabu, Wahindi au Irani & Co. lkn siyo Waafrika wenzetu weusi, hawachukui wala kuharibu chochote kile!
 
Tuliofanya kazi ya sensa haya mambo tunayajua siku nyingi sana.
Kwa uzoefu wangu anzia Kunduchi, Tegeta, Bahari beach, Kondo & Ununio(hapa ndo site yao), haya maeneo yote yametapakaa wamalawi na hawana hata vitambulisho vya aina yoyote.
Niko na mshangao mno kwamba hivi hivi vyombo vya usalama viko wapi?, vipo kwa ajili ya kuficha madudu ya wakubwa km yule jamaa wa dodoma na mchepuko wake?
 
Wachina, Wasomali, wahindi, wapakistan wamejaa hawana vibali, eewe unakkmaa na wamalawi
Soma uelewe. Mie hao uliowataja sijawi ishi nao karibu hivyo sielewi mambo Yao lkn nao kama wanafanya Yale Yale vyombo vya Dola vifanye kazi yake
 
Back
Top Bottom