Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 4,770
- 10,665
Niliwahi kusema kuwa Samia amefeli kwenye kila idara ya uongozi na kwa sasa nchi haijulikani ina mission gani na inataka ku achieve nini!!
Kwa walioanza kuisikia TEC juzi, unaweza kuhisi ni kweli TEC inashida na Samia: but ni TEC hii hii ilipambana sana NGOSHA , ambapo Ngosha ni amelelewa chini ya malezi ya kikatoliki ila alipoanza Udikteta Uchwara, TEC walilala na JPM sahani moja mpaka kifo cha JPM, ilifika pahala JPM alikuwa frastuated sana na hawa jamaa zake mpaka hakujua nini cha kufanya. In his deathbed JPM alitubu kwa imani yake na kusema kuwa anatambua TEC ni taasisi imara kwa maslahi ya wananchi.
Kwa mfano, Shambulio la lissu… kuna muislam au mlokole au KKKT aliefungua mdomo? Ni TEC pekee ndio walitoa waraka upfront immediately. TEC ni foundations behind the human truth and Consciousness… you should clearly note that na machwa wako wanakupeleka shimoni
Ni upumbavu wa hali ya juu mtu kuamini kuwa TEC inashida na serikali ya sasa eti kisa ni muislam !! Hivi Samia ndio Rais pekee wa Islam kutokea TZ….?By the way hivi uislam unaleta ugali au matibabu?
Nadhan Samia ajifunze kwanza Composition ya TEC, TEC inachukuwa the cream brains na kuzi intergrate kwenye mifumo ya kidini. mfumo wa elimu ya kiislam ni madrasa ambao sio mfumo wa elimu ya utambuzi na self realization -imagine mtu anafundishwa kukariri kitu ambacho hata maana yake hajui but anajua kukisoma na kukariri Ila hajui maana yake.
Nadhani Samia ajifunze kwanza what is TEC na vita na TEC hatoiweza hadi anamaliza muda wake, kwasababu TEC ukiwaona upfront ujue wanaongelea maslahi ya taifa na wananchi, sio kama wale wenzetu ukiwaona upfront ujue wanaizungumzia TEC ! Uliwahi kusikia kiongozi wa TEC akizungumzia Islam
hata siku moja?
Wakati unaendelea kupambana na TEC na wadai haki…..by the time unakuja kuamka kwenye hiyo illusion ya amani bila haki …. Itakuwa umeshachelewa sana na hasara haitokuwa kwako tu but hata kwa taifa maana be assured that hata ufanye nini TEC will never stop kuzungumzia haki—— unajipotezea muda tu…
..haki ni independent variable na Amani ni outcome Yaani dependent variable , so Samia na team yako stop deluding yourselves hakuna kitu kinachoitwa amani kwanza kisha haki… huo ni UHUNI na UTAPELI hata mu cosmetic vipi
Wakati unapambana na wananchi wako , watu wanajenga nchi zao …. Endeleeni kuwa kwenye usingizi mzito
Heshima kubwa sana kwenu TEC , Sio muumini wa kikristo wala Islam but nina heshima kubwa sana na TEC …. Kama nikiambiwa kuchagua basi nitaenda TEC/Catholic
Dr Megalodon Mushi
Canada
Kwa walioanza kuisikia TEC juzi, unaweza kuhisi ni kweli TEC inashida na Samia: but ni TEC hii hii ilipambana sana NGOSHA , ambapo Ngosha ni amelelewa chini ya malezi ya kikatoliki ila alipoanza Udikteta Uchwara, TEC walilala na JPM sahani moja mpaka kifo cha JPM, ilifika pahala JPM alikuwa frastuated sana na hawa jamaa zake mpaka hakujua nini cha kufanya. In his deathbed JPM alitubu kwa imani yake na kusema kuwa anatambua TEC ni taasisi imara kwa maslahi ya wananchi.
Kwa mfano, Shambulio la lissu… kuna muislam au mlokole au KKKT aliefungua mdomo? Ni TEC pekee ndio walitoa waraka upfront immediately. TEC ni foundations behind the human truth and Consciousness… you should clearly note that na machwa wako wanakupeleka shimoni
Ni upumbavu wa hali ya juu mtu kuamini kuwa TEC inashida na serikali ya sasa eti kisa ni muislam !! Hivi Samia ndio Rais pekee wa Islam kutokea TZ….?By the way hivi uislam unaleta ugali au matibabu?
Nadhan Samia ajifunze kwanza Composition ya TEC, TEC inachukuwa the cream brains na kuzi intergrate kwenye mifumo ya kidini. mfumo wa elimu ya kiislam ni madrasa ambao sio mfumo wa elimu ya utambuzi na self realization -imagine mtu anafundishwa kukariri kitu ambacho hata maana yake hajui but anajua kukisoma na kukariri Ila hajui maana yake.
Nadhani Samia ajifunze kwanza what is TEC na vita na TEC hatoiweza hadi anamaliza muda wake, kwasababu TEC ukiwaona upfront ujue wanaongelea maslahi ya taifa na wananchi, sio kama wale wenzetu ukiwaona upfront ujue wanaizungumzia TEC ! Uliwahi kusikia kiongozi wa TEC akizungumzia Islam
hata siku moja?
Wakati unaendelea kupambana na TEC na wadai haki…..by the time unakuja kuamka kwenye hiyo illusion ya amani bila haki …. Itakuwa umeshachelewa sana na hasara haitokuwa kwako tu but hata kwa taifa maana be assured that hata ufanye nini TEC will never stop kuzungumzia haki—— unajipotezea muda tu…
..haki ni independent variable na Amani ni outcome Yaani dependent variable , so Samia na team yako stop deluding yourselves hakuna kitu kinachoitwa amani kwanza kisha haki… huo ni UHUNI na UTAPELI hata mu cosmetic vipi
Wakati unapambana na wananchi wako , watu wanajenga nchi zao …. Endeleeni kuwa kwenye usingizi mzito
Heshima kubwa sana kwenu TEC , Sio muumini wa kikristo wala Islam but nina heshima kubwa sana na TEC …. Kama nikiambiwa kuchagua basi nitaenda TEC/Catholic
Dr Megalodon Mushi
Canada