Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Kwa nini wasitumie tozo kama kigezo cha kukusanya pesa kwa ajili ya bima ya mtu. Hizi tozo wanazotukata kikifika kiasi cha pesa kutosha kukata bima unatumiwa ujumbe ukafate bima yako ofisi fulani. Itaongeza ushawishi kwa watu kuendelea kutumia mobile financial service.