Serikali baada ya kukusanya kodi hatuambiwi zinaenda wapi

Serikali baada ya kukusanya kodi hatuambiwi zinaenda wapi

UKIONA CHAMA KIMETAWALA NCHI MIAKA 60 UJUE KINA WATU WENYE AKILI KUBWA

MTU YEYOTE ANAKUKATAWALA UJUE KAKUZIDI AKILI
Akili Kizibo akili kubwa miaka 60 maji ya shida na umezungukwa na vyanzo vya maji kwa zaidi ya miaka 60 km sio ukiazi mviringo ni nini?
 
Akili Kizibo akili kubwa miaka 60 maji ya shida na umezungukwa na vyanzo vya maji kwa zaidi ya miaka 60 km sio ukiazi mviringo ni nini?



HIYO CODE NIMEKUPA HAPO USE IT WISELY

UNGEKUWA NA AKILI KUBWA , YOU COULD JOIN US , TOFAUTI NA HAPO WATCH US WE WIN
 
Eti shule na hospital za kisasa kama zipi? Mbona wakiugua tezi dume na figo wanakimbilia Ulaya na India.Hizo shule mbona watoto wanasoma private.


HIYO NI FREE ECONOMY. UCHUMI HURU .

IF YOU CAN AFFORD PRIVATE UNARUHUSIWA KULIPIA SIMPLE LIKE THAT.
 
Serikali baada ya kukusanya kodi zetu haitoi ufafanuzi sahihi mfano huu mwaka serikali imekusanya takriban trilioni 8.7 za kitanzania Lakini hatuambiwi mgawanyiko wa hizi fedha maana ni fedha zetu wananchi.
Yaani wewe kaka hujui Alafu hujui Kama haujui
Na ndio nyie mnaokosoa serekali kila siku Kama hujui kazi ya kodi au zinafanya nini??
 
Back
Top Bottom