zinginary
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 2,486
- 1,712
Huu ugonjwa n mbaya sanaaa
Ukianza kuangalia hiz unakesha bila kujua ,nashukuru nilitibu huu ugonjwa ila smtym nazikumbuka
Kwenye the greater queeen kuna kjn anaitwa BIDAM ,kaigiza na kwenye bad man pia..alikiwa na master wake muyyo sijui daah hawa watu balaaa
Ilijimae
Nazan zipo mbili ila kuna.moja yule dogo alilelewa na baba mwizi
Hv yule baba mwizi n mwiz kweli nn ..maana series kibao mwizi
Huyo dogo iljimae yupo kwenye nyingine inaitwa 2wks ..na pia yupo ktk move flan gun and swaodal..maisha yake.ya huruma ila anakuja kushinda na kuleta ladha tamu
Kuna move inaitwa Empress chu chu
Mule ndan kuna general jung
Jamaa kabla.hajafa alipigana na askali mia na.aliuwa wote,
General jung n mtata aisee, yupo moves flan nyingine nimesahau jina star n nchunchu..aliuwa wanajesh wote na.kabla hajaenda vitan aliuwa mke na wattt ila aconcentrate vizur ktk mapigano
Empress ki
Nayo.tamu sanaa
Kuna series flan yupo jamaa anaitwa sky lord na yule.baba wa daeso
Anyway ilistop haya mambo ila kuna series za wazungu pia sikumalizaga sijui zinaendelea
VIKING...hii series nikiipata naangalia hata nimestop niliishia pazur ep4
Revolution....nayo niliishia njian
THE WALKING DEAD....daah haya mambo.haya
NIKITA...
huyo jamaa anaitwa JUMUNGO naona.katoa series mpya.matara sana..sasa wadogo wanaangalia zimetafsiliwa.kiswahili,lijamaa linaongea kiswahili linaboa sanaa aisww
Hovyo hovyoo sijui wanaenjoy vip
Ukianza kuangalia hiz unakesha bila kujua ,nashukuru nilitibu huu ugonjwa ila smtym nazikumbuka
Kwenye the greater queeen kuna kjn anaitwa BIDAM ,kaigiza na kwenye bad man pia..alikiwa na master wake muyyo sijui daah hawa watu balaaa
Ilijimae
Nazan zipo mbili ila kuna.moja yule dogo alilelewa na baba mwizi
Hv yule baba mwizi n mwiz kweli nn ..maana series kibao mwizi
Huyo dogo iljimae yupo kwenye nyingine inaitwa 2wks ..na pia yupo ktk move flan gun and swaodal..maisha yake.ya huruma ila anakuja kushinda na kuleta ladha tamu
Kuna move inaitwa Empress chu chu
Mule ndan kuna general jung
Jamaa kabla.hajafa alipigana na askali mia na.aliuwa wote,
General jung n mtata aisee, yupo moves flan nyingine nimesahau jina star n nchunchu..aliuwa wanajesh wote na.kabla hajaenda vitan aliuwa mke na wattt ila aconcentrate vizur ktk mapigano
Empress ki
Nayo.tamu sanaa
Kuna series flan yupo jamaa anaitwa sky lord na yule.baba wa daeso
Anyway ilistop haya mambo ila kuna series za wazungu pia sikumalizaga sijui zinaendelea
VIKING...hii series nikiipata naangalia hata nimestop niliishia pazur ep4
Revolution....nayo niliishia njian
THE WALKING DEAD....daah haya mambo.haya
NIKITA...
huyo jamaa anaitwa JUMUNGO naona.katoa series mpya.matara sana..sasa wadogo wanaangalia zimetafsiliwa.kiswahili,lijamaa linaongea kiswahili linaboa sanaa aisww
Hovyo hovyoo sijui wanaenjoy vip
