Series za kikorea

Series za kikorea

Yaani mimi ni chizi wa hizo movie,hadi ndugu zangu wananiita mkorea manake naweza hadi kuongea kikorea kidogo,wakiongea naweza kutafsiri baadhi ya maneno...nyimbo zao sasa nzuri sana jamani wenzetu wako vizuri sana
Na hizi ni movie ambazo ninazikubali hadi hua nalia nikiziangalia....jumong,the heirs,boys before flowers,queen second,the royal princess,baek dong soo,city hunter...n.k
 
MIMI KWENYE EXTERNAL YANGU NINAZO HIZI: 49, A Little Love Never Hurts , A Thousand Kisses, ANTHENS, bad guy, bad luv, Birth of the Rich, Bridal Mask, brilliant legacy, Can You Hear My Heart, chuno, Cinderella’s Sister, city hunter, Dae Mul, Empire of Gold, faith, five fingers, giant, Goddess of Marriage, Gu Family Book, Heartless City, Hong Gil-dong, I Hear Your Voice,I MISS YOU, Iljimae, Incarnation of Money, IRIS, IRIS 2,King 2 Hearts,lie to me, Love Rain, lovers, Mandate of Heaven, Mary Stayed Out All Night, Master’s Sun,may queen,Me Too Flower,medical top,midas,Miss Ripley,my girl,My Girlfriend is a Gumiho,My Princess,Myung Wol the Spy,Padam Padam,Passionate Love,Personal Taste,Pick the Stars,Princess Man,Queen of Ambition,Sai no Haha,Scandal,Secret,shark,Swor d.and.Flower,Temptation of an Angel,th Grade Civil Servant,The Equator Man,The Heirs,The Innocent Man,the moon,two weeks,Warrior Baek Dong Soo,When a Man Loves,Wonderful Life,You are beatiful,hotel king,My Love From Another Star,One Warm Word,Prime Minister and I,Sly and Single Again,3 days,



HIZI SIRIES ZINA SINGLE EPISODES SIO ZILE ZA PART1,PART 2

Mkuu naomba link ninayoweza kuzopata kilaisi
 
Yaani mimi ni chizi wa hizo movie,hadi ndugu zangu wananiita mkorea manake naweza hadi kuongea kikorea kidogo,wakiongea naweza kutafsiri baadhi ya maneno...nyimbo zao sasa nzuri sana jamani wenzetu wako vizuri sana
Na hizi ni movie ambazo ninazikubali hadi hua nalia nikiziangalia....jumong,the heirs,boys before flowers,queen second,the royal princess,baek dong soo,city hunter...n.k
oppa tufamiane ahjus.
yaani ni watamu halafu waigizaji ni vijana na zina subtitle unaelewa kama tamthilia ya kitabu.
ila 3 days tamu zaidi rais anawapotea usalama wa taifa na kila mtu hajui alipo.
 
Ni nzuri ila wanakomaa na stor moja kama imechezewa mjini lazma iwe na mambo ya maproscuter mara baba ana arestiwa na mwanae mara watoto walibadilishwa ndo story zao hizo na visasi vya miakaishirin iliyopita
 
Haizingui kweli maana kuna nyingine hazieleweki mara waweke episode 1 au 2...ngoja nitaijaribu

Hazizingui uzuri wamekuambia kabsa km ni completed drama or ongoing drana
 
Hazizingui uzuri wamekuambia kabsa km ni completed drama or ongoing drana

Jana nimejaribu nikaona process nyingi nikaachana nayo,niambie wewe huwa unaangalia vipi??
 
Jana nimejaribu nikaona process nyingi nikaachana nayo,niambie wewe huwa unaangalia vipi??

Kila episod moja imevunjwavunjwa na kuwa some parts lije part 1,2,3... ili ukiwa unastream isiwe inakwama kwama kwa sababu ya udogi wake na pale kuna links tofauti tifauti link moja ikizingua unaendelea na link nyingine...ukitaka kudownload install internet dowloader manager hii inadowload automatic once you play online....
 
Sasa hivi ninaangalia gu family book....ni nzuri pia
 
Nimewahi kuiona tho sikuipenda saana
 
Ni nzuri? Na inahusu nini kwa ufupi ili niitafute.!
ni nzuri yah and inachekesha kwa kiasi. inahusu huyu mdada na mkaka walifeki relationship ili kkumridhisha mamake huyo mwanaume kwasabab alitaka mwanae aowe..basii wakati wakufeki hyo relationship wakaishiaa kupata hisiaa....
 
ni nzuri yah and inachekesha kwa kiasi. inahusu huyu mdada na mkaka walifeki relationship ili kkumridhisha mamake huyo mwanaume kwasabab alitaka mwanae aowe..basii wakati wakufeki hyo relationship wakaishiaa kupata hisiaa....
Ok. Nikipata muda nitaicheki
 
Back
Top Bottom