Ni comedy... kuna janga(virus) liliikumba dunia hivyo ilipunguza population sana na walio survive ni wachache maana inaanza jamaa ambaye ndo main character katika mji anao ishi yupo pekee yake.....The last man ni kal mkuu?Inahusu nini
Hahahaaa!!! Kwenye uandishi hakuna kitu kigumu na kinachowashinda waandishi wengi kama ku-develop audience emotion! Moja ya maeneo ambayo Mwandishi anaweza kutengeneza emotion ni kama haya ya kuleta jambo ambalo Audience ilikuwa inataka kinyume chake! Audience ilipenda sana imuone Daenery anakuwa The Queen of The Iron Throne au Jon Snow anachukua the Iron Throne huku pembeni yake akiwepo Dan as a Queen!!!
Waandishi wakapiga chenga, na kumuonesha ni namna gani Daenery alivyo monster asiyefaa kuchukua taji na hivyo kuibua emotions and anger kwa fans hadi watu wanataka a spinn-off or new ending!
Endapo Waandishi wangefanya kile ambacho audience wangependa kiwe, basi hii discussion hivi sasa isingekuwepo! Na ndio maana wakati mwingine unakuta Waandishi "wanamuua" one of the most favorable or innocent character kwenye series or movie kama ambavyo walimuua Shireen Baratheon kwenye GoT! Kale kabinti was very innocent but charming lakini bado the Lord of Light (in fact Waandishi) akamtaka huyo huyo na kupelekea kutokea kwa moja ya vifo vifo vya kikatili kabisa kuwahi kutokea pale GoT!
Baada ya Sergeant Brody kunyongwa, mjadala ukazuka miongoni mwa wapenzi wa Homeland kwa sababu hawakutaka afe that soon! Hata kwenye Power, fans hawakutaka Kannan (50 Cent) afe!! Oh Lord, Captain Brad Bellick is no more! Nilikasirika vibaya mno kwa sababu, pamoja na kwamba watu walimpenda sana Michael Scolfield kutokana na Big Brain aliyokuwa nayo, but my favorite character alikuwa CO Captain Brad Bellick!! Kifo cha Omar Little kwenye The Wire kili-disappoint wengi! Tena bora basi angeuawa na Mafia wenzake! Seriously, you kill Carl in the Walking Dead ili iwaje?! I started to hate Nina Myers a moment she shot Teri Bauer at point blank! I loved Anna Lucia na ule utemi utemi wake hadi basi!!
Moja ya sababu inayofanya Bongo Movie iwe inaboa ni pale kuanzia dakika 10 za mwanzo tu, tayari unajua nani atakuwa demu wa nani, nani atakufa, nani ata-cheat, n.k!
Hahaaaa mkuu umenichekesha hapo kwamba jamaa wa the brave wanajifanya wajuaji..Brave ni kama strike back.Sema hawa machalii wa brave wanajifanya wajuaji sana.kinachoboa wote watano hakuna hata mmoja anajeruiwa wala kutekwa wala kufa,Uwongo mwingi episode 4 nimeishindwa nimeibwaga,Jack rayn(sina hakika na spelling)Ni kali ila mwisho wamezingua mousa bin suleiman kafa kizembe sana.Empire inazingua ugomvi wa familia kila siku.List yang ya kumi bora ni
1:Viking
2:Game of thrones
3:Original
4😛ower
5:spartacus
6:Breaking bad
7:vampire diary
8:The 100 (nilipenda season ya 1tu)
9:under the doom
10:v
Bonus:Queen of south
Hizi sikuzipenda na nyingi sikuzimaliza
Witch of the east
Legend of seeker
melin
Lost
Walking dead
Gotham
Lacasa na narcos(lugha tatizo nilikosa sub title)
Last ship (mbelen ya kawaida)
Teen wolf
Person of interest
Bad land
Blind spot
West world (nimeishindwa episode ya kwanza)
Supernatural
Dracula
Beauty and the beast
Zingine sikumbuki ila nimeangalia nyingi sana za zamani kidogo.
View attachment 1108533
Kanan hata mimi nilikuwa nam-mind sana na u-snitch wake!Big up mkuu umeongea vizuri sana lakini for real kwenye GOT Wamezingua dany alivokufa. On another side kwenye Power
Big up mkuu umeongea vizuri sana lakini for real kwenye GOT Wamezingua dany alivokufa. On another side kwenye Power kanan stark alistaili kufa maana alikua snitch kinoma
Man! Bado tu una ndoto za kurejea St Brody?! Hizo ndoto nilikuwa nazo hadi season 4 lakini kwa sasa nime-movie on kwa sababu nimeshakubali ukweli mchungu kwamba Sgt Brody is no more labda watuletee habari za kifo cha Michael Scofield! Mtu mwingine ambae hadi sasa sitaki kukubali kwamba amekufa ni Paul Kellerman kwenye PB ingawaje mtu unaona kabisa kwamba jamaa kala shaba at a short range! Sasa anapona vp!Speaking of sergeant Brody, mimi huwa nina imani bado atatokea kwenye season nyingine asee, kifo chake huwa sikikubali kabisa. Ni kama yule daktari wa last ship, sema huwa nawaza siku agent yeyote au Redington mwenyewe akifa kwenye Blacklist itakuwaje, maana kile kipindi anatafutwa Samar Navabi niliona kabisa kuna kitu kitakosekana akiuawa.
Sure, ni ngumu sana kuianza series ambayo ina takribani episodes 350 by now! Dah, yaani umenitonesha donda ulipoitaja The Americans! It was too soon to end! Uzuri ni kwamba, kutokana na ending yake, naiona wazi ipo siku itarudi kwa Second Generation Russian Spies!Yeah sidhani kama nitakuja kuicheki maana kama unavyosema ipo mbali sana na huwa napenda nifatilie kitu toka mwanzo..sahv bdo naendelea na Blacklist, House of cards,na The Americans
The Americans niliiangalia mpk nikajihisi nipo ndani ya movie yenyewe. Phillip and Elizabeth were super genious!Sure, ni ngumu sana kuianza series ambayo ina takribani episodes 350 by now! Dah, yaani umenitonesha donda ulipoitaja The Americans! It was too soon to end! Uzuri ni kwamba, kutokana na ending yake, naiona wazi ipo siku itarudi kwa Second Generation Russian Spies!
Yah! Upo sahihi kabisa! Yaani nitai-miss sana The Americans! Sema walivyotupiga chenga kwenye season finale; kila mmoja akabaki hoi manake kila mtu alitarajia The Jennings wangekuwa arrested! Na ndio maana napata imani kwamba itarejea tu!!The Americans niliiangalia mpk nikajihisi nipo ndani ya movie yenyewe. Phillip and Elizabeth were super genious!
Halafu in real life walikuja kuoana!
Naona hbo wakombioni kuandaa prequelbya GOT
Huenda ikaitwa The long Night
Unaweza kuorodhesha series zingine 5 ambazo ndio top kwako ukitoa hiyo Money Heist?Money heist so far ndo series yangu kali kuliko zote
BloodmoonNaona hbo wakombioni kuandaa prequelbya GOT
Huenda ikaitwa The long Night
Kuna mapanga mapanga na mambo ya kupaa hewani??Aise wakuu hii "DECODED" kama hujaangalia fanya uitafute hutojutia muda wako ni season kal sana ya wachina
Hamna hizo mkuu humu kuna issue za mahesabu sana yaan ishu za kupambana na magaid waliokuwa wanaipiga china afuu sasa kuna gaid mkubwa sana alifanya mahesabu na kutengeneza code inaitwa purple code kwa lengo la kuwa wanaficha mawasiliano yao yasigundilike mwisho wa siku anapatikana dogo akili zake haziko timamu anapewa hiyo kazi na mwanajeshi mkubwa sana kwa lengo la kuisolve hiyo hesabu(decode) dogo ni genius atatumia muda mrefu sana mpk aje aisolve hiyo code maana wengine walikuwa wakisolve wanakuwa vichaa jinsi ilivyo kuwa na fumboKuna mapanga mapanga na mambo ya kupaa hewani??
Maana series za uongo za hivyo huwa sizikubali..
Kama hutojali naomba intro kidogo.
Acha nikakonekt wifi ya ofisi nishushe huu mzigo fastaHamna hizo mkuu humu kuna issue za mahesabu sana yaan ishu za kupambana na magaid waliokuwa wanaipiga china afuu sasa kuna gaid mkubwa sana alifanya mahesabu na kutengeneza code inaitwa purple code kwa lengo la kuwa wanaficha mawasiliano yao yasigundilike mwisho wa siku anapatikana dogo akili zake haziko timamu anapewa hiyo kazi na mwanajeshi mkubwa sana kwa lengo la kuisolve hiyo hesabu(decode) dogo ni genius atatumia muda mrefu sana mpk aje aisolve hiyo code maana wengine walikuwa wakisolve wanakuwa vichaa jinsi ilivyo kuwa na fumbo
Kingine action za mitutu na kupigana kis cha mapenzi vyote viko humu mkuu kaangalie hii ikikuboa bas jua your not born kuja kufurahia maisha ya movie nenda kafuatilie mieleka
Fanya hivyo mkui usisahau kunipa feedbackAcha nikakonekt wifi ya ofisi nishushe huu mzigo fasta