Kazi ya Producer sio kutengeneza script na wala si lazima awe mwandishi ingawaje ni kweli pia kwamba wapo ma-producer wengi ambao ni waandishi wa script vile vile kama huyo JJ Abram.
Script inaweza kuandikwa na Chige as screenwriter ikafikishwa kwa JJ Abram as Producer na yeye ndie akaunda production team na akateua director. Script kutoka kwa Chige ikishatua kwa JJ Abram, yeye ataipeleka production department ambako itafumuliwa na kutengenezwa production/shooting script! Hii production script inaweza kuchukua yote niliyoyaandika au inaweza kuongeza na kupunguza baadhi...! More often than not, production/shooting script haiandikwi na Producer bali na Director akishirikiana na Cinematographer. Kazi ya Cinematographer hapo inakuwa description of technical issues... that's camera movement ambayo, professionally si kazi ya mwandishi/screenwriter ingawaje nimeona script nyingi za Kibongo Screenwriters wanaandika/wana-include camera movements kwenye script zao. Mwandishi ukijaza ma-camera movements kwenye script yako kisha ukaifikisha Hollywood, wala hakuna atakayeisoma!
Hata hivyo, pamoja na yote hayo bado kazi kubwa inakuwa tayari imefanywa na mwandishi! Wakati mwandishi atakuwa ameandika, kwa mfano feature film kwa miezi mitatu na zaidi, shooting script inaweza kuwa imeandikwa ndani ya wiki moja! Na hata ukija kwenye series, the same applies.
Chige, kazi ya producer ni kuhakikisha anatengeneza script ya tukio huu ndo msingi mkuu wa maproducer wote,ndo maana nimekutolea mfano wa JJ Abram ambaye mm namkubali kuliko hata wale waliotengeneza 24 na Prison break maana ni km waliziotea zile na hawakuproduce series angalau zilizoendana na zile za awali.
Issue sio kuandika script... issue ni kuandika script zaidi ya moja kwa wakati mmoja, zenye theme moja lakini kwa show tofauti tofauti.. ndio maana nikatoa mfano wa Howard Gordon. Ukiangalia Homeland, Tyrant & Legends... hizi show ni zaidi ya kuziita kwamba ni same genre lakini hata mlengo wake unafanana! Kwamba, unaweza kuchukua tukio la kwenye Legends na ukalipeleka Homeland au la Homeland ukalipeleka Tyrant. Kutokana na hilo, lazima kuna show itapwaya coz' unalazimika kuzigawa plots ambazo zingeweza kuwa kwenye show moja na badala yake unalazimika kuzipeleka kwenye show zaidi ya moja... matokeo yake, unakuwa na scenes chache ambazo ni bangs na kuishia kujazia jazia kukamilisha season! Chukulia Homeland Season 4 kwa mfano, out of 12 episodes, zaidi ay nusu wametuzingua! Na kiukweli ni episode 6,7, 8 na 9 pekee ndiyo zilikuwa na msisimko!!!![nazikosoa I like you guys....
Wote mko vizuri na mnajua ni maana ya filamu industry.......
Mie nliacha kuangalia bongo muvi baada ya kuona sio type yangu coz imefikia kipind hata nkiangalia Hollywood movie nazikosoa....but nmekuja kuitanzama #Siri_ya_mtungi nikagundua tatizo kumbe sio waigizaji tatizo ni team nzima ya production kwa bongo.
Nimejaribu kuifatilia siri ya mtungi japo kidogo nmegundua kuna mkono wa foreigners...ndio maana wamefanya vizuri kuanzia location, costumes, directing hata na casting
Series za ukweli 2014-nikita,revenge,power,tyrant,banshee,the following,crisis,scandal,legends, zote zinaendelea 2015 new seasons balaaaaaaaaaaaaaa
Series za ukweli 2014-nikita,revenge,power,tyrant,banshee,the following,crisis,scandal,legends, zote zinaendelea 2015 new seasons balaaaaaaaaaaaaaa
Series za ukweli 2014-nikita,revenge,power,tyrant,banshee,the following,crisis,scandal,legends, zote zinaendelea 2015 new seasons balaaaaaaaaaaaaaa
Series za ukweli 2014-nikita,revenge,power,tyrant,banshee,the following,crisis,scandal,legends, zote zinaendelea 2015 new seasons balaaaaaaaaaaaaaa
Issue sio kuandika script... issue ni kuandika script zaidi ya moja kwa wakati mmoja, zenye theme moja lakini kwa show tofauti tofauti.. ndio maana nikatoa mfano wa Howard Gordon. Ukiangalia Homeland, Tyrant & Legends... hizi show ni zaidi ya kuziita kwamba ni same genre lakini hata mlengo wake unafanana! Kwamba, unaweza kuchukua tukio la kwenye Legends na ukalipeleka Homeland au la Homeland ukalipeleka Tyrant. Kutokana na hilo, lazima kuna show itapwaya coz' unalazimika kuzigawa plots ambazo zingeweza kuwa kwenye show moja na badala yake unalazimika kuzipeleka kwenye show zaidi ya moja... matokeo yake, unakuwa na scenes chache ambazo ni bangs na kuishia kujazia jazia kukamilisha season! Chukulia Homeland Season 4 kwa mfano, out of 12 episodes, zaidi ay nusu wametuzingua! Na kiukweli ni episode 6,7, 8 na 9 pekee ndiyo zilikuwa na msisimko!!!![nazikosoa I like you guys....
Wote mko vizuri na mnajua ni maana ya filamu industry.......
Mie nliacha kuangalia bongo muvi baada ya kuona sio type yangu coz imefikia kipind hata nkiangalia Hollywood movie nazikosoa....but nmekuja kuitanzama #Siri_ya_mtungi nikagundua tatizo kumbe sio waigizaji tatizo ni team nzima ya production kwa bongo.
Nimejaribu kuifatilia siri ya mtungi japo kidogo nmegundua kuna mkono wa foreigners...ndio maana wamefanya vizuri kuanzia location, costumes, directing hata na casting
Siri Ya mtungi ni tam sana' endelea kiifatilia
Revolution mwanzoni hainogi ila imenogeshwa na huyu jamaa
Kwenye breaking bad amecheza vizuri sanaaaa-mimi na mume wangu tunapenda sana huyo jamaa
WW Hensenberg ndo hatari
Tuco na akili yake mbovu angekamatwa na series isinge fika season 5Nilitaka kumuona "Tuco Salamanca" zaidi ila too bad they killed his character mapema sana.
Tuco na akili yake mbovu angekamatwa na series isinge fika season 5
Mkuu hii makitu wameshatoa season 6 au season 5 ndio tumemalizia pale Br BaHahahaaa tight! tight!
Mkuu hii makitu wameshatoa season 6 au season 5 ndio tumemalizia pale Br Ba
Wale wa Banshee Season 3 episode 01 is out
Looks like The Tribal Gang wame_mess na Military,
hiyo banshee inahusu nini jamani!!! mbona jina km la kihindi sio kihindi!!!