Series (Special thread)

Patriot inanioasua kichwa sites zote ninako itafuta inanigomea. Torrent nako u ajua mwendo wa kobe naweza kuipata? Naomba link
 
Kazi imeanza asee na une isakua vilivyo maana mimi nilichemka miezi imepita sasa tangu Vincenzo Jr alivyo recommend humu
View attachment 3615035
Hiyo nimepata kwenye site hii pahe ila ina mizunguko mingi mpaka u-download unakuwa umefanya kazi.

Kuna ads za maana humo zingine hadi kwenye ile ya captcha za kuzuia robots wameweka hadi hesabu
 
Hiyo nimepata kwenye site hii pahe ila ina mizunguko mingi mpaka u-download unakuwa umefanya kazi.

Kuna ads za maana humo zingine hadi kwenye ile ya captcha za kuzuia robots wameweka hadi hesabu
Dqh shukran sana ngoja nipite nione japo nina Adguard ya hatari kwenye simu na nnatumia BRAVE BROWSER adds zinapita kule hata sizioni
 
Dqh shukran sana ngoja nipite nione japo nina Adguard ya hatari kwenye simu na nnatumia BRAVE BROWSER adds zinapita kule hata sizioni
Hizo hazisaidii kitu

Hizi zitakusaidia kwenye zile pop ups ads ila huko kwingine ni lazima ukutane nazo.

Kwasababu hata link ya kudownload inakuwa generated kwa site ya ads.

Cheza nayo ila usisahau kuwa na Four figure karibu.
 
Hiyo nimepata kwenye site hii pahe ila ina mizunguko mingi mpaka u-download unakuwa umefanya kazi.

Kuna ads za maana humo zingine hadi kwenye ile ya captcha za kuzuia robots wameweka hadi hesabu
Dah nimethibitisha mwenyewe mzunguko wa hapa ni zaidi ya ile barabara ya mwanza mzunguko. Hadi kufikia hapa unakuwa umezunguka kwelikweli kwa mtu kama uran atasingizia imeshindikana kumbe ni yeye ndio kashindwa. Mkuu shukrani sana.
 
Hizo hazisaidii kitu

Hizi zitakusaidia kwenye zile pop ups ads ila huko kwingine ni lazima ukutane nazo.

Kwasababu hata link ya kudownload inakuwa generated kwa site ya ads.

Cheza nayo ila usisahau kuwa na Four figure karibu.
Nimekutana nacho kaka kwenye kuveryfy ndio kituko zaidi 😁😁😁
 

Attachments

  • 20260624_214616.jpg
    388.8 KB · Views: 12

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…