Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Source ya haya maneno iko wapi? Ningependa sana kujuwa kama ni kweli. Sasa mpaka mtu unakuja kuua wanawake wa watu kisa unasingizia ukimwi si balaa hii? Inawezekana ana ukimwi ila anaua kwa sababu ni hobby yake, maana wengi wanaoua binadamu wanakuwa kama wana laana fulani hivi na akishaua mtu mmoja inakuwa ndiyo hobby tena, ataua mpaka akamatwe.
Nimekutana naye face to face segerea last two weeks...trust me ....