Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,958
Kuna utata bado kwenye ujio wa T.I

Kwa sasa jamaa wanahaha kutafuta wasanii kwa kuokotezaokoteza ambao hawakuwa kwenye list incase hali itakuwa mbaya mpaka dakika za mwisho.

Lakini kitanuka tu hii vita mnayoanzisha nyie jamaa, msifikiri kila mtu ni mjinga kama wa huko nyuma.
 
Mkuu kwani t.i amepotezea mbna jana walisema yuko nairobi anapiga show
 
Wajinga waTANZANIA wenzako wasiofikiri kabla ya kunena watakubaliana nawe 100%.

Si mmeambiwa Davido anakuja ?

akipafom basi subiria kuona damu ya mtu inamwagwa.
 
kuna mtu kawalazimisha kata ticket.??

Nakwambia safari hii damu itamwagika...Kama mnajifanya mnaujua umafia na system yenu basi tuucheze huu mchezo tuone. Hakuna atakaeenda studio kufanya mixtape ni street justice itazungumza.
 
Si mmeambiwa Davido anakuja ?

akipafom basi subiria kuona damu ya mtu inamwagwa.

Kwani vipi jamani mbona sielewi???davido akipafom damu itamwagika kwa nini???
 
kibali cha davido kimekwama kwa ajili ya kupafom kwny fiesta kwakuwa ana mkataba na times fm unaomfunga...
 
Nakwambia safari hii damu itamwagika...Kama mnajifanya mnaujua umafia na system yenu basi tuucheze huu mchezo tuone. Hakuna atakaeenda studio kufanya mixtape ni street justice itazungumza.

Kutwa nzima kuwatukana watu na radio zao sa najiuliza kuna anayewalazimishaga kuzisikiliza au kwenda kwenye matamasha yao????

Kama vp kamwambie sugu na mkoloni wakuandalie tamasha ili uka-enjoy na wasela mavi wenzio.
 
Kutwa nzima kuwatukana watu na radio zao sa najiuliza kuna anayewalazimishaga kuzisikiliza au kwenda kwenye matamasha yao????

Kama vp kamwambie sugu na mkoloni wakuandalie tamasha ili uka-enjoy na wasela mavi wenzio.

Mmmmmhhh....!!!
 
Kama una hela za manati subiri show ya vinega...pumbafuuuu...

Tatizo hawa machoko wanaendekeza sana siasa. Kila kitu kwao ni siasa tu. Yaan me nahisi hawa wakiwa vitandani wanagegedwa wanakua wanalia vilio vyenye mahaba ya kisiasa-siasa za ufipa.
Taabu sana.
 
kibali cha davido kimekwama kwa ajili ya kupafom kwny fiesta kwakuwa ana mkataba na times fm unaomfunga...

We chizi kabisa watu wanaongelea wasanii wa dunia kama akina T.I we unatuletea chai ya rangi za akina Davido toka bara la Giza?

Alokwambia Davido anakuja ni nani? Au ulikua unaota? Teteteteeh bangi imekuingia vzr.
 
Back
Top Bottom