Serengeti: Adaiwa kumuua mumewe siku 14 baada ya kufunga ndoa, kisa si chaguo lake

Mambo ya kuongea na wakwe badala ya kukubaliana kwanza na mtu wako haya. Jamaa kakojoa akauchapa usingizi wa moja kwa moja.
 
Doh...kumbe kule kulala lala baada ya kupiga kimoja sio kuzuli lolote linaweza kukutokea.
 
ndo maana dada hakuona shida kumgecha na panga halafu akatafuta na msosi wa kushushia. Probably she endured so much from her abuser. Men stop abusing women, mwanamke akiamua kufanya ukatili dunia huwa inasimama kwanza kusikilizia.
Unatumia kinywaji gani nikuchek kidg!
 
Sasa chief cha mwisho utakijua ni kipi? Au ukijihisi kuchoka choka?
Haswaaa ukiona umechoka inatakiwa ukeshe macho😂, na pia ni vyema tuwafikishe juu kabisa ya mlima kilimanjaro ili hata akitaka kukuua akakumbuka raha uliyompa anakusamehe
tumeitishq kikao cha dharula kama walichofanya SADC kujadili hali ya amani huko kanda ya ziwa hasa wanaume waishio Tarime, Rorya, Nyamongo na Mugumu wapo hatarini kutoweka
 
Nimeelewa maumivu mnayopitia darling. Mfumo dume ni shida. Huyo binti hata asingeua angebaki anakufa yeye ndani kwa ndani. Asingefurahi ndoa wala tendo. Maisha kwa ujumla.

Nimekumiss zaidi mtoto mtam. Nilijua tu umenikasirikia nikaona nikuache kidogo coz hata ningejieleza usingenielewa. Usijiapize nkoi.

Hahaaa nimecheka sana...eti ziwa Victoria.
 
Acha tu aue mambo mengine yasonge ...nimecheka na comment yako🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…