Hatari,wana ndoa tuna hali ngumu sana...
Mambo ya kuongea na wakwe badala ya kukubaliana kwanza na mtu wako haya. Jamaa kakojoa akauchapa usingizi wa moja kwa moja.Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili 14, 2021 mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu amesema tukio hilo limetokea jana Aprili 14, 2021 saa 4 usiku katika kitongoji cha Pengo kijiji cha Iseresere.
Amesema chanzo ni mgogoro wa ndoa na mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa hatua zaidi.
Diwani wa Majimoto, Johannes Masirori ambaye ni mjomba wa marehemu amesema Mbogo na Happy walifunga ndoa Machi 31, 2021 na kudai kuwa mwanamke huyo amekiri kufanya mauaji hayo.
"Kabla ya mauaji anadai kuwa mumewe alimlazimisha kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwanaume alilala na yeye alipobaini amesinzia akachukua panga na kumkata mara tatu shingoni,” amesema.
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
HahaaaaNaona chaguo lake ni kunyea debe.
Unatumia kinywaji gani nikuchek kidg!ndo maana dada hakuona shida kumgecha na panga halafu akatafuta na msosi wa kushushia. Probably she endured so much from her abuser. Men stop abusing women, mwanamke akiamua kufanya ukatili dunia huwa inasimama kwanza kusikilizia.
Hamna best ..ww nakuona una unyanya nyanya sana ..kwenye ndoa ndo nyie mnakujaga kutusumbua😏hahaaaaaaa
Kazi wanayo
Sasa chief cha mwisho utakijua ni kipi? Au ukijihisi kuchoka choka?wanaume tukimaliza cha mwisho tusilale, tutachinjwa tuishe
Haswaaa ukiona umechoka inatakiwa ukeshe macho😂, na pia ni vyema tuwafikishe juu kabisa ya mlima kilimanjaro ili hata akitaka kukuua akakumbuka raha uliyompa anakusameheSasa chief cha mwisho utakijua ni kipi? Au ukijihisi kuchoka choka?
Ntakuchek jioni...kuna sentensi umeiongea vzr sana ..serious ntakuchek jionDompo
Ntakuchek jioni...kuna sentensi umeiongea vzr sana ..serious ntakuchek jion
Kama nyuki dume vile!Jaman an unapig show and then una die duuh huyo binti anastahil adhbu kubwa ajab
Huo ndio umri wa ndoa za kitanzaniaMdogo sana ndio kuingia kwenye ndoa
Hamna best ..ww nakuona una unyanya nyanya sana ..kwenye ndoa ndo nyie mnakujaga kutusumbua😏
Wanijadili kisa!! Wanavyoshangiliaga ya magunia ya mkaa je? Waje tushangilie na hili.Hahaha utajadiliwa humu...mie nimependa..ya nn kujitesa nafsi jamani!huyu hata akienda magereza hataumia kihivyoo..maana wanaume wanatesa sana sana
AnalyseWanijqdili kisa!! Wanavyoshangiliaga ya magunia ya mkaa je? Waje tushangilie na hili.
Nimeelewa maumivu mnayopitia darling. Mfumo dume ni shida. Huyo binti hata asingeua angebaki anakufa yeye ndani kwa ndani. Asingefurahi ndoa wala tendo. Maisha kwa ujumla.Babe tukichomwa mikaa sisi hamsemi .tukiua mnakuja duh😑! Nimekumis nikajiapiza na kujinuiza sitakutafta tena na ole wako nikifa usije nizika😶! Ila waha mna maringo jamani 😡😡😡..mngepata ziwa victoria kubwa kama kwetu si tungekufa jamani😆
Acha tu aue mambo mengine yasonge ...nimecheka na comment yako🤣Nimeelewa maumivu mnayopitia darling. Mfumo dume ni shida. Huyo binti hata asingeua angebaki anakufa yeye ndani kwa ndani. Asingefurahi ndoa wala tendo. Maisha kwa ujumla.
Nimekumiss zaidi mtoto mtam. Nilijua tu umenikasirikia nikaona nikuache kidogo coz hata ningejieleza usingenielewa. Usijiapize nkoi.
Hahaaa nimecheka sana...eti ziwa Victoria.