Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Njaa mkuukudadeki !
binti wa miaka 20 ana roho ngumu kiasi hicho?
baada ya kuua akaenda kuchukua na msosi kabisa akagonga bila wasi wasi?
du!
Njaa mkuukudadeki !
binti wa miaka 20 ana roho ngumu kiasi hicho?
baada ya kuua akaenda kuchukua na msosi kabisa akagonga bila wasi wasi?
du!
🤣🤣🤣🙌🙌🙌Bidada katisha, nimempenda!
Mdogo sana ndio kuingia kwenye ndoaMiaka 18 ni "TOO YOUNG"⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️
labda hauko Tanzania
Watu wengine hawaelewi ukimwambia hivyo anaona unatania kumbe ni kweli mwisho wa siku ndio yanatokea haya.Uwiii...kuwa na mtu usiyempenda inakera sana! Ila sio kuua jamani hata angetoroka tu
Best una wake wawili?Kifo cha kukatwakatwa Mapanga ni Kifo kibaya
Mimi ninao wawili hebu Imagine wakiamua si watanifanya Bucha.
Hiyo roho ndo inatakiwa nyakati hizi .maana unyanyasaji umezidiMama zetu nao wana Roho ngumu sana Sumtime,Kumchinja mtu kwa Panga mpaka anadedi inataka Roho sana.
Ninao na wanazidi kunawiri lakini mimi kila mwezi niko kwa Daktari na maumivu ya kiunoBest una wake wawili?
we waache tu, ingekua mchaga hapa kungewaka moto.Daah totoz za kikurya noma sana halafu kuna watu wanaogopa kuoa uchagani kuliko ukuryani!
Kukatwa shingo au kuchomwa na mkaa, vyote ni vitendo vya kikatili na hakuna any means ya kuvihalalisha, regardless muhusika ni nani.Amefanya roho yake imependa...sie tukichomwa mkaa sawa .myie mkitolewa roho mnakuja na why
alienda kujipongezaAmesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
Bora ww umefikiria kiume....nimekupenda bure..ukiwa hujanywa kumbe zinachaji
Tuliopitia haya madhila tunajua machungu yake,😢 ina athari kubwa sana sana kisaikolojia, unaweza kufanya tukio la kuogofya, hata kuua nyumba nzima na wewe kujiua kwa misimamo ya ovyo kutoka kwa wazazi/walezi😭😭Ndo shida ya ndoa za utotoni
Huyu inaelekea mwanaume alikuwa anamu abuse sana
Ova
Bidada katisha, nimempenda!