kusubiri tanzania ya viwanda ni sawa na kusubiri kurudi kwa yesu.Kwa mwendo ninaouona, kupitia maaamuzi ninayoyaona yakifanywa na utawala wangu wa Serikali ya sasa sina budi kusema ahadi ya Tanzania ya viwanda ikitimia kabla ya 2020 nitavaa kofia,viatu,T-Shirt,koti na socks zenye nembo ya CCM.Sitahitaji maswali mengi kwasababu nitakuja nimetimiza nilichoahidi leo.
Tuombeane uzima kufikia muda huo maana kuna baadhi ambao hawataweza kuiona Tanzania ya viwanda.Nisipoiona Tanzania ya viwanda nitaamini kua mabadiliko chini ya CCM ni ndoto labda upinzani ambao haujawahi kutawala.Wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu 2020 CCM wajiandae kwa moyo mweupe kukabidhi Dola maana watakua wameshindwa kazi.
Mkuu, miezi 7 imekatika serikali inapangwa.Miaka mitano hii ni ya kuikarabati serikali, hata wakianza kujenga viwanda kama kawaida vitabomolewa katikati ya ujenzi, make hata wanachokijenga hawakijui, ukiuliza wanapoipeleka nchi hawana jibu.
Mkuu watu wengine wanaishi kwa mashemeji zao , suala la familia wao haliwahusuWatu kama nyie sijui mnaendeshajd famly
Huyo motochini ana Shida ya common sense mwachane coz hapo hajasemwa mtu na jamaa anazungumzia viwanda huyu kaleta mambo yake ya kuzimuSoma argument yake uielewe kwanza ndio ubwabwaje. Wewe eleza unadhani kwa nini sera ya viwanda itawezekana kabla ya mwaka huo, hiyo ndio namna bora ya kujadiliana.
Hivi tatizo lako ni elimu au kwa sababu unetoka kabila lenye asili ya ubishi tuu?
Punguza jazba wewe.Kama alivyo pesa mzazi wako kwa kukuzaa
Elimu ipi sasa mkuu ?Hapa mtazamo wa elimu nao utazamwe upya,maana wanaoenda kufanya kazi kwenye hivyo viwanda ni watu.Watu wasome hasa ufundi.Wanafunzi waanze kufundishwa stadi za ufundi wakiwa ngazi za chini za elimu.
Hapa mtazamo wa elimu nao utazamwe upya,maana wanaoenda kufanya kazi kwenye hivyo viwanda ni watu.Watu wasome hasa ufundi.Wanafunzi waanze kufundishwa stadi za ufundi wakiwa ngazi za chini za elimu.