Bonta kwenye wimbo wake mmoja aliwahi kuuliza "mbezi kuna nini lami hadi ndani, shinyanga kuna dhahabu vumbi hadi ndani"... Huu ndo ukweli kwamba viongozi wamekua wanahamisha utajiri wa maeneo yenye madini nakuwaachia wazawa mashimo na vyumbi, kibaya zaidi utajiri unaelekea ulaya kama gesi yetu ilivyonyang'anywa na mabepari(JPM)...ndg yng ukweli ni kwamba Tanzania hajavamiwa tena na wazungu baada ya uhuru,iko wazi viongozi kupitia ccm waliwapa mabepari rasilimali zetu kwa mgongo wa " wawekezaji". CDM imepigana kadiri walivyoweza kutuamsha ili kuona kuanzia operesheni sangara hadi kudai sera ya gesi kabla yakugawa vitalu, yaani ni ww mleta mada na viongozi wachache mlingia mtaani na vifaru kule Mtwara kuwatawanya wananchi wanaotaka gesi yao isitoroshwe, Miaka michache imepita tokea muwakebehi wanamtwara leo mnaungana tena na JPM kulalamika gesi yetu inaibiwa...kwa kifupi idara yetu nyetu T..I..S ukiongezea na Jioni Wali(JW) mnatumika km kondomu mmewasaliti umma na mmegeuzwa kondoo wa wanasiasa mnageuzwa geuzwa kama samaki anayeliwa