Sent from my blackbel, iphone s, galaxy, nokia asha..... Ni ushamba

Sent from my blackbel, iphone s, galaxy, nokia asha..... Ni ushamba

cjaona mantiki kwani kuna ubaya boss??au wote wanakukimbiza na visimu vyao nn aisee
 
Mkuu huwa ni automatikale ....
Haahahaha

Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani
 
Mkuu hizi super and quality smartphone zinayafanya haya usiyoyapenda automatically.

Yani wewe unachukizwa na programs, sisi watumiaji wala hatukumbuki kuwa tunatumia simu gani.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kuna option ya kufuta hizo msg.

Kwa nini nifute kitu ambacho hakisumbui utaratibu wangu wa matumizi?
Kwani ni big deal sana hizi simu kiasi hichi hadi mnajivua ufahamu?

"Watanzania wanapenda maendeleo lakini wanawachukia watu wenye maendeleo". by Justine Nyari

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naona wewe ndiyo "ushamba"
bado unakusumbua, kwa kawaida hizo signature zinakuwa ziko-set hivyo
toka kiwandani (by default), hiyo ni njia mojawapo ya hawa watengenezaji
wa simu kufanya marketing, wala sioni tatizo katika hilo, labda kama
linakufanya wewe ujione inferior! Kama unataka tusijue unatumia nokia ya
tochi unaweza kuset tu manually signature ionekane unatumia iPhone, if
that will make you feel any better!

Taabu yote hiyo ya nini?
 
Sent from my diamond crusted, white (and white leather cushioned) Galaxy Note 2. /s
 
Ndio hivo mkuu,






hi hi hiii,kweli mtoa mada ana hoja ya msingi,yaani ujumbe mmoja huo huo utumwe na misimu yote hyo tena kwa wakati mmoja kama huo wako mkuu??

sent from my blackberry 9300,iphone 5S,nokia lumia using jamiiforums
 
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!

Ila na ww uache Ushamba kwanza , simu Kama Blackebrry Ukipost kitu popote automatically inaandika hilo neno kwa Mwisho . Sent from blackeberry na si m2 anaandika .. Chukuza Ki2 acha kukurupuka . Alafu neno Blackeberry haliandikwi hivyo .
 
Hivi unajua kwamba hiyo ni default settings once ukiamua kutumia JF mobile? Kwa akili yako, nani ana muda wa kuanza kuandika sent from my so and so mobile?
 
Kwenye FB HAIepukiki mara nyingi ukilogin app usika kwenye cm ukiandka inaonesha zamani kabla Mod hawajafanya changes ukikoment ukipeleka cursor inaonyesha umetumia device gani na browser ipi .
 
Da! Kweli watu mmeishiwa vitu vya kupost. Hayo maneno huwa yanajiandika yenyewe tu. Muanzisha thread angekuwa amewahi zitumia angejua.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Watu wengine bana!

Sent from my hp EliteBook 8460p using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom