Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Kwa hyo una ushauri gani mtoa mada? Wakati wenzako wanamiliki hzo cmu wewe ulikuwa wapi?
Sent from my Nokia 3310 using JamiiForums
Sent from my Nokia 3310 using JamiiForums
Kuna baadhi ya vitu tukikosa tunasingizia hatuvipendi/hatuvihitaji.
Sent from my Blackberry 9780 using Jamiiforums
Inajiandika yenyewe
sent from my iPhone
Halloo habarini zenu
sent from my blackberry 9300,iphone5S,Nokia lumia ya tochiberry
Mkuu! Unaweza kuondoa pia. Naungana na mleta mada. Ni ushamba hasa ukiwa umekusudia.
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!
hahahaha.....Uondoe ili iwejee???
Kama simu yako haina unaweza kuandika tu mwenyewe .. Kwii kwiiiiii Kuwa mbunifuu bana.
Unaweza kuandika .. Sent from my nokia ya tochii blaaaaaa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Siku ukikamata tablet si utaimba na wimbo?