huyu lazima awe anamatatizo sio bure..
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!
hahahaha.....
sent from my chemli aka koroboi.
Nafikiri imekugonga "delivered"
...on transit
Sent from my iphone 5 latest version
Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!
Tatizo sio ushamba ila watanzania wengi tunatumia muda mwingi kufuatilia vitu visivyo na tija hata kwa maisha yetu binafsiInatoleka sana 2 ila wengine wanaweka makusud tuone ushamba wao ulivyo kweli umenena kaka subir kdg watazileta sshv malimbuken wako hao