Sent from my blackbel, iphone s, galaxy, nokia asha..... Ni ushamba

Sent from my blackbel, iphone s, galaxy, nokia asha..... Ni ushamba

Hatuhitaji kujua aina ya visimu mnavyotumia, ni ushamba mkubwa heti kwa kuwa unatumia simu ku google, basi unafikiri uko juuu saaaana! Lo! eti 'sent from my nokia asha, ...... sent from my blackbel' Hivi tangu simu zimeanza kutumika Tanzania nyie ndio kwanza mnaanza kutumia internet kweye simu ee? Acheni ulimbukeni huo!

We na ww Uaache Presha na MAisha .. Hujui unachokiongea , Simu Kama BlAckbnerry "signature name " yake inaTokea Automatic ...tisa kumi ,sioni kma inakera.. Kama ww unatumia Laptop , andika mwshoni "sent from HP Probook"
 
Sikutegemea kama wewe unaeza andika haya na povu likikutiririka uh!!

***crying***
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom