Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 131
Inaweza kuwa sio ushamba, nijuavyo mimi baadhi ya IT machine huwa zina automatic signatures from manufacturer ila kama huipendi waweza kuitoa.
Cha kukumbuka sio wote ni wajuzi wa vitu wanavyovitumia.
Cha kukumbuka sio wote ni wajuzi wa vitu wanavyovitumia.