Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,548
Wanabodi,

Nalifuatilia presentation ya kamati ya pili, ya makinikia ya mchanga, kitu cha kwanza ku note ni, licha ya kuwa presentation is an art kama ilivyo the art of public speaking, presenter sio public speaker!. Kuwa Professor mzuri anaeifundisha economics darasani na kwenye lecture theater, hakumfanyi kuwa presenter mzuri kwenye general public.

The same applies kwa mwandishi mzuri wa presentation anaweza asiwe the best kwenye presentation. Muwasilisha mada alianza kama ama anaogopa, anatetemeka as if yuko very unsure na anachowasilisha, as if he was just paying lip services kutimiza wajibu wake kwa the one he who pays the piper may call the tune, so presenter was just dancing to the tunes of whoever call the shots kwa kusema kile aliyemtuma na aliyemlipa angependa kusikia!.

Nimenote lots of sensationalism kwenye presentation kwa presenter kuonyesha kushangaa kuwa ni ajabu, ni Tanzania peeke! ,kusema jambo la ajabu kabisa! ,etc, haya sio maneno ya professional presenter ni maneno ya sensationalist presenter.

Nijuavyo mimi Professional Presentation zinatawaliwa na specific ethics kwa presenter ku present the facts only, opinions of the presenter should be kept aside kwa sababu maoni ya presenter is not part of the presentation.

Hivyo it's wrong kwa mwasilishaji ripoti kuongezea vijineno neno vyenye negativity huku akionyesha kushangaa shangaa kama vineno "only in Tanzania!" au kwa vile ni professional presentation done to the politicians hivyo sensationalism inaruhusiwa to add more flavor for political capitalization to impress the boss?!.

Hii ni kama ilivyo kwa media ethics opinions of a news reporter is not part of the news story. Tunasisitizwa keep your opinions to yourself, kazi ya reporters ni ku present facts only, then mwache receive ndio atoe opinions na sio presenter.

We just need hard facts only kuhusu makinikia, halafu opinion waachie wanaopokea taarifa. Tuache sensationalism kwenye professional presentations unless ni lecturing ad lib ili ku draw more attention!.

Kwa maoni yangu, nilitegemea hii kamati ya pili ingekuja na vitu solid, more concrete, kuhusu bei ya soko ya tani moja au kontena moja la makinikia.

Kama ripoti yetu yenyewe ndio hii ya wasomi wetu ndio hawa, then Tanzania we still have a long way to go kwa sababu hapa tulipo, bado we have a very serious problem!, hivyo huko tunakokwenda kwenye uchumi wa gesi hali itakuwaje?. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua huo mchanga wetu tunazijua na tuna balozi zetu, tumeshindwa nini kuuliza bei ya mchanga, bei ya by products etc, kama tumeshindwa kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, kwa lidubwana kubwa contena lenye kitu solid easy to quantify, what about gesi ambayo ni hewa na inaweza kuwa siphoned huko huko underground kwa kutumia submarine pipes, tunauwezo gani kujua?.

Acacia ni listed company kwenye masoko ya hisa ya LSE na DSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu tuu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document. Hao wachumi wetu waliobobea kwenye uchumi wameshindwa nini kutupatia economic analysis ya kinachopatikana kwenye huo mchanga?.

Excuse kuwa hata Acacia hajui bei kwa sababu mauzo hufanyikia South Africa ni lame excuses kwa sababu the end product ya biashara yote ya Acacia huishia kwenye financial statement yao, wameshindwa nini kutukokotolea faida wanayopata tukapiga hesabu ya 4% halali yetu tukawadai? .

Hii ya kuja na ma figure ya matrilioni ya mihela kuwa ndio tunaibiwa ni hoodwinking Watanzania kwa kuwatia hamasa ya uongo kudhani tumeibiwa hayo matrilioni yote hivyo kujenga too great expectations kuwa maadam tumshika mwishi wetu, hivyo sasa atatulipa matrilioni, kumbe ni uongo mtupu, kwa sababu halali yetu ni just 4% ya matrilioni hayo!.

Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo tuliibonda humu kuwa sio uchunguzi sio scientific bali just a composition, then ripoti ya pili have the same weaknesses za ripoti ya kwanza, matokeo, tusitegemee kupata kitu chochote cha maana mbele ya safari!. Utawezaji kudai kitu ambacho wewe mwenyewe umeshindwa ku quantify gharama halisi za ulichoibiwa?.

Uchunguzi wa hizi ripoti mbili umeonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo, viongozi wetu wanatoaje matumaini ya mihela hii kibao wakati hata hatuna uhakika wa kilichomo?.

A Way Forward.
A way forward ambayo ni fair kwa both parties sisi wenye mali na mtuhumiwa mwizi wetu, Acacia to come clean, openly, truthfully with maximum transparency and full disclosure of all its financial transactions zinazohusiana na mchanga wetu, Acacia inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.

Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe watu wetu na watu wa mtuhumiwa mwizi wetu Acacia wakishuhudia ili tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.

Paskali
 
Wanabodi,

Nalifuatilia presentation ya kamati ya pili, ya makinikia ya mchanga, kitu cha kwanza ku note ni, licha ya kuwa presentation is an art kama ilivyo the art of public speaking, nimenote lots of sensationalism kwenye presentation kwa presenter kuonyesha kushangaa kuwa ni ajabu, ni Tanzania peeked! , jambo la ajabu kabisa! ,etc.

Professional Presentation zinatawaliwa na specific ethics kwa ku present the facts only, opinions of the presenter should be set aside kwa sababu maoni ya presenter is not part of the presentation.

Hivyo it's wrong kwa mwasilishaji ripoti kuongezea vijineno neno vyenye negativity huku akionyesha kushangaa shangaa kama vineno "only in Tanzania!".

Hii ni kama ilivyo kwa media ethics opinions of a news reporter is not part of the news. Kazi ya reporters ni ku present facts only, then mwache receive ndio atoe opinions na sio presenter.

We just need facts only halafu opinion waachie wanaopokea taarifa. Tuache sensationalism kwenye professional presentations.

Kwa maoni yangu, nilitegemea hii kamati ya pili ingekuja na vitu more solid kuhusu bei ya soko ya tani moja au kontena moja la makinikia.

Kama ripoti yetu yenyewe ndio hii ya wasomi wetu hawa, then we have a very serious problem huko tunakokwenda kwenye uchumi wa gesi!. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua mchanga wetu tuna balozi zetu, kama tumeshindwa nini kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, then hiyo ripoti haijajitosheleza.

Acacia ni listed company kwenye LSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu tuu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document. Hao wachumi waliobobea kwenye uchumi wameshindwa nini kutupatia economic analysis ya kinachopatikana kwenye huo mchanga?.

Excuse kuwa hata Acacia hajui bei kwa sababu mauzo hufanyikia South Africa ni lame excuses kwa sababu the end product ya biashara yote ya Acacia huishia kwenye financial statement yao, wameshindwa nini kutokokotolea faida wanayopata tukapiga hesabu ya 4% halali yetu tukawadai? .

Hii ya kuja na ma figure ya matrilioni ya mihela kuwa ndio tunaibiwa ni hoodwinking Watanzania kudhani tumeibiwa hayo matrilioni yote kumbe halali yetu ni just 4% ya matrilioni hayo!

Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo sio uchunguzi sio scientific bali just a composition, then ripoti ya pili have the same weaknesses za ripoti ya kwanza.

Uchunguzi unaoonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo. major

A Way Forward.
A way forward ambayo ni fair kwa both parties sisi wenye mali na mwizi wetu, ni kwa mwizi wetu Acacia to come clean
Openly, truthfully with maximum transparency and full disclosure of all its financial transactions zinazohusiana na mchanga wetu, inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.

Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe watu wetu na watu wa mwizi wetu wakishuhudia ili tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.

Paskali
Ni kujikomba tu, alivyokuwa anaonyesha hicho ulichokiita sensationalism, hawezi kusema ukweli, atamfurahisha Boss, eti Profesa, pathetic!
 
Hii itapita kama ya Dangote, madawa ya kulevya nk.

Kiukweli ripoti ipo biased, walioandaa ripoti wanaonekana wazi kabisa kuegemea upande wa Rais.

Hapa ni mradi wa watu wachache kutengeneza pesa, na mwisho wa siku itaibuka ishu nyingine itakayochukua attention kubwa.

Nilichokiona awamu hii, pesa haipigwi moja kwa moja kwenye miradi, bali rushwa kutoka kwa wawekezaji.

Muda utaamua, na ipo siku mambo yakakuwa mubashara.
 
Pascal, haya mambo ni mazito mno, ila sisi tunayachukulia kirahisi sana...

Tume zote zinaendelea kuja na mambo ya kusadikika saaana mpaka nashindwa kuelewa maana ya usomi, data hazieleweki nafikiri ndio maana mtuhumiwa mkuu hapewi hizi report.

Uzalendo ni muhimu, lakini lazima tuangalie udhaifu wa tume tusije tukampa mtuhumiwa mkuu njia za kutokea..
 
Hao wachumi waliobobea kwenye uchumi wameshindwa nini kutupatia economic analysis ya kinachopatikana kwenye huo mchanga?.
Paskali,, yaani sisi watanzania sijui kwa nini ndani ya hii awamu tumezidi kuwa majinga kiasi hiki aiseee!! Eti professor,, linasoma taarifa kwanza huku linatetemeka utafikri limetoka kwenye kiroba!! Hovyo kabisa,, wasomi wa Tanzania ni hewa bora tubaki kama taifa lisilokuwa na wasomi haki ya nani!!
 
Kuna watu wanasema kwa usomaji ule Profesa kapiga Kitwanga kuliko Kitwanga mwenyewe.

Kuna ukweli hapo jamani?

Maana mara nyingine zile trillioni na bilioni alivyokuwa anazipinda na kusoma kama mtoto anayejifunza kusoma, kusoma anasoma yeye lakini unajisikia vibaya wewe msikilizaji huku.
 
Nalifuatilia presentation ya kamati ya pili, ya makinikia ya mchanga, kitu cha kwanza ku note ni, licha ya kuwa presentation is an art kama ilivyo the art of public speaking, nimenote lots of sensationalism kwenye presentation kwa presenter kuonyesha kushangaa kuwa ni ajabu, ni Tanzania peeked! , jambo la ajabu kabisa! ,etc.

Hivyo it's wrong kwa mwasilishaji ripoti kuongezea vijineno neno vyenye negativity huku akionyesha kushangaa shangaa kama vineno "only in Tanzania!"


Huku miongoni mwa waliofanya hayo maajabu wakiwa HIGH TEBLERS
 
Ni wazi ripoti ilikuwa biased. Tume ilifanya uchunguzi na hadi inatoa ripoti yake ilikuwa inaegemea upande mmoja waziwazi.

Prof alikuwa anatetemeka wazi wazi, na mkononi anachezea karatasi kama mtoto. Sijui hata wanafunzi wake anawafundisha kwa uoga namnahiyo?

Inaonesha alijiandaa kumpa maoni raisi, sio kutoa ripoti kwa raisi
 
Mimi nilipoona tu watu wanashawishiwa kuangalia live presentation ya report nikajua hamna kitu.

Report inatolewa kama sherehe ya kumtoa mwali? Brass band inapiga mara kina Mrisho mpoto wanatumbuiza, hapo kuna professionalism kweli? Au kutafuta kick za kisiasa?

Kwanini mtu aliyekataa Bunge lisionyeshwe live kwa kigezo cha gharama na watu kufanya kazi leo ahimize live kwenye mikutano yake kama sio kutafuta kick tu?
 
Back
Top Bottom