Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Nimeipenda way forward yako
Wanabodi,
Nalifuatilia presentation ya kamati ya pili, ya makinikia ya mchanga, kitu cha kwanza ku note ni, licha ya kuwa presentation is an art kama ilivyo the art of public speaking, nimenote lots of sensationalism kwenye presentation kwa presenter kuonyesha kushangaa kuwa ni ajabu, ni Tanzania peeked! , jambo la ajabu kabisa! ,etc.
Professional Presentation zinatawaliwa na specific ethics kwa ku present the facts only, opinions of the presenter should be set aside kwa sababu maoni ya presenter is not part of the presentation.
Hivyo it's wrong kwa mwasilishaji ripoti kuongezea vijineno neno vyenye negativity huku akionyesha kushangaa shangaa kama vineno "only in Tanzania!".
Hii ni kama ilivyo kwa media ethics opinions of a news reporter is not part of the news. Kazi ya reporters ni ku present facts only, then mwache receive ndio atoe opinions na sio presenter.
We just need facts only halafu opinion waachie wanaopokea taarifa. Tuache sensationalism kwenye professional presentations.
Kwa maoni yangu, nilitegemea hii kamati ya pili ingekuja na vitu more solid kuhusu bei ya soko ya tani moja au kontena moja la makinikia.
Kama ripoti yetu yenyewe ndio hii ya wasomi wetu hawa, then we have a very serious problem huko tunakokwenda kwenye uchumi wa gesi!. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua mchanga wetu tuna balozi zetu, kama tumeshindwa nini kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, then hiyo ripoti haijajitosheleza.
Acacia ni listed company kwenye LSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu tuu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document. Hao wachumi waliobobea kwenye uchumi wameshindwa nini kutupatia economic analysis ya kinachopatikana kwenye huo mchanga?.
Excuse kuwa hata Acacia hajui bei kwa sababu mauzo hufanyikia South Africa ni lame excuses kwa sababu the end product ya biashara yote ya Acacia huishia kwenye financial statement yao, wameshindwa nini kutokokotolea faida wanayopata tukapiga hesabu ya 4% halali yetu tukawadai? .
Hii ya kuja na ma figure ya matrilioni ya mihela kuwa ndio tunaibiwa ni hoodwinking Watanzania kudhani tumeibiwa hayo matrilioni yote kumbe halali yetu ni just 4% ya matrilioni hayo!
Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo sio uchunguzi sio scientific bali just a composition, then ripoti ya pili have the same weaknesses za ripoti ya kwanza.
Uchunguzi unaoonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo. major
A Way Forward.
A way forward ambayo ni fair kwa both parties sisi wenye mali na mwizi wetu, ni kwa mwizi wetu Acacia to come clean
Openly, truthfully with maximum transparency and full disclosure of all its financial transactions zinazohusiana na mchanga wetu, inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.
Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe watu wetu na watu wa mwizi wetu wakishuhudia ili tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.
Paskali
Sasa kama boss na PhD yake hawezi kuongea malkia unategemea nini kwa prof hyoPaskali,, yaani sisi watanzania sijui kwa nini ndani ya hii awamu tumezidi kuwa majinga kiasi hiki aiseee!! Eti professor,, linasoma taarifa kwanza huku linatetemeka utafikri limetoka kwenye kiroba!! Hovyo kabisa,, wasomi wa Tanzania ni hewa bora tubaki kama taifa lisilokuwa na wasomi haki ya nani!!
Hakuna Mtu Aliyewahi kupambana na njaa akabaki salama.. Njaa hampendezi mtu kama suti.Siku hizi hakuna maprofesa,ni wachumia matumbo yao tu.
Njaa hupoteza maarifa,period.
Wanabodi,
Nalifuatilia presentation ya kamati ya pili, ya makinikia ya mchanga, kitu cha kwanza ku note ni, licha ya kuwa presentation is an art kama ilivyo the art of public speaking, nimenote lots of sensationalism kwenye presentation kwa presenter kuonyesha kushangaa kuwa ni ajabu, ni Tanzania peeked! , jambo la ajabu kabisa! ,etc.
Professional Presentation zinatawaliwa na specific ethics kwa ku present the facts only, opinions of the presenter should be set aside kwa sababu maoni ya presenter is not part of the presentation.
Hivyo it's wrong kwa mwasilishaji ripoti kuongezea vijineno neno vyenye negativity huku akionyesha kushangaa shangaa kama vineno "only in Tanzania!".
Hii ni kama ilivyo kwa media ethics opinions of a news reporter is not part of the news. Kazi ya reporters ni ku present facts only, then mwache receive ndio atoe opinions na sio presenter.
We just need facts only halafu opinion waachie wanaopokea taarifa. Tuache sensationalism kwenye professional presentations.
Kwa maoni yangu, nilitegemea hii kamati ya pili ingekuja na vitu more solid kuhusu bei ya soko ya tani moja au kontena moja la makinikia.
Kama ripoti yetu yenyewe ndio hii ya wasomi wetu hawa, then we have a very serious problem huko tunakokwenda kwenye uchumi wa gesi!. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua mchanga wetu tuna balozi zetu, kama tumeshindwa nini kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, then hiyo ripoti haijajitosheleza.
Acacia ni listed company kwenye LSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu tuu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document. Hao wachumi waliobobea kwenye uchumi wameshindwa nini kutupatia economic analysis ya kinachopatikana kwenye huo mchanga?.
Excuse kuwa hata Acacia hajui bei kwa sababu mauzo hufanyikia South Africa ni lame excuses kwa sababu the end product ya biashara yote ya Acacia huishia kwenye financial statement yao, wameshindwa nini kutokokotolea faida wanayopata tukapiga hesabu ya 4% halali yetu tukawadai? .
Hii ya kuja na ma figure ya matrilioni ya mihela kuwa ndio tunaibiwa ni hoodwinking Watanzania kudhani tumeibiwa hayo matrilioni yote kumbe halali yetu ni just 4% ya matrilioni hayo!
Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo sio uchunguzi sio scientific bali just a composition, then ripoti ya pili have the same weaknesses za ripoti ya kwanza.
Uchunguzi unaoonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo. major
A Way Forward.
A way forward ambayo ni fair kwa both parties sisi wenye mali na mwizi wetu, ni kwa mwizi wetu Acacia to come clean
Openly, truthfully with maximum transparency and full disclosure of all its financial transactions zinazohusiana na mchanga wetu, inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.
Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe watu wetu na watu wa mwizi wetu wakishuhudia ili tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.
Paskali
Naona chadomo humu ndani wa avamia huu uzi na kutetea wezi
Mimi nilisikiliza kidogo presentation ile. Niliposikia tu presenter ana-refer ripoti ya kamati ya kwanza nikazima TV nikaondoka kwangu kuingia mitaani kuendelea na shughuli zangu. Kwasababu nilijua tu kama hesabu za hicho kinachoitwa mapato yaliyopotea kama yanapigwa kwa zile figure na data za Prof Mruma basi hakuna haja hata ya kupoteza muda kusikiliza. Ni vichekesho.Wanabodi,
Nalifuatilia presentation ya kamati ya pili, ya makinikia ya mchanga, kitu cha kwanza ku note ni, licha ya kuwa presentation is an art kama ilivyo the art of public speaking, nimenote lots of sensationalism kwenye presentation kwa presenter kuonyesha kushangaa kuwa ni ajabu, ni Tanzania peeked! , jambo la ajabu kabisa! ,etc.
Professional Presentation zinatawaliwa na specific ethics kwa ku present the facts only, opinions of the presenter should be set aside kwa sababu maoni ya presenter is not part of the presentation.
Hivyo it's wrong kwa mwasilishaji ripoti kuongezea vijineno neno vyenye negativity huku akionyesha kushangaa shangaa kama vineno "only in Tanzania!".
Hii ni kama ilivyo kwa media ethics opinions of a news reporter is not part of the news. Kazi ya reporters ni ku present facts only, then mwache receive ndio atoe opinions na sio presenter.
We just need facts only halafu opinion waachie wanaopokea taarifa. Tuache sensationalism kwenye professional presentations.
Kwa maoni yangu, nilitegemea hii kamati ya pili ingekuja na vitu more solid kuhusu bei ya soko ya tani moja au kontena moja la makinikia.
Kama ripoti yetu yenyewe ndio hii ya wasomi wetu hawa, then we have a very serious problem huko tunakokwenda kwenye uchumi wa gesi!. Kama tumeshindwa kuestablish kitu kidogo tuu kama Acacia wanaingiza kiasi gani kwa mchanga wetu, tutawezaje kukokotoa by products zote za huo mchanga?. Nchi zote Acacia inakopeleka kuuchenjua mchanga wetu tuna balozi zetu, kama tumeshindwa nini kujua bei ya tani ya mchanga inauzwa bei gani sokoni, then hiyo ripoti haijajitosheleza.
Acacia ni listed company kwenye LSE na biashara yake yote ni hii migodi mitatu tuu ya Tanzania, hivyo financial statements zake ni public document. Hao wachumi waliobobea kwenye uchumi wameshindwa nini kutupatia economic analysis ya kinachopatikana kwenye huo mchanga?.
Excuse kuwa hata Acacia hajui bei kwa sababu mauzo hufanyikia South Africa ni lame excuses kwa sababu the end product ya biashara yote ya Acacia huishia kwenye financial statement yao, wameshindwa nini kutokokotolea faida wanayopata tukapiga hesabu ya 4% halali yetu tukawadai? .
Hii ya kuja na ma figure ya matrilioni ya mihela kuwa ndio tunaibiwa ni hoodwinking Watanzania kudhani tumeibiwa hayo matrilioni yote kumbe halali yetu ni just 4% ya matrilioni hayo!
Kama ripoti ya pili ime collaborate ripoti ya kwanza ambayo sio uchunguzi sio scientific bali just a composition, then ripoti ya pili have the same weaknesses za ripoti ya kwanza.
Uchunguzi unaoonyesha composition ya madini kwenye mchanga sio conclusive evidence kuwa kila kilichomo ni extractable na kinachopatikana usually is less than kilichopo kwenye vipimo. major
A Way Forward.
A way forward ambayo ni fair kwa both parties sisi wenye mali na mwizi wetu, ni kwa mwizi wetu Acacia to come clean
Openly, truthfully with maximum transparency and full disclosure of all its financial transactions zinazohusiana na mchanga wetu, inapata nini kwenye kila tani ya mchanga through financial transactions.
Then haya makontena 277 yatumike kama confirmation sampling tuyasimamie yachenjuliwe watu wetu na watu wa mwizi wetu wakishuhudia ili tuthibitishe kilichopatikana, tupigiane hesabu, biashara iendelee.
Paskali
Kweli kabisa....kuna wakati mtu unaweza anza jiuliza hivi nini maana ya kuwa msomi.kuna makosa makubwa sana kama wakipata wanasheria wazuri ....tutaongea na kuisha kiurahisi tu...kampuni haijawahi kusajiliwa its okay....sasa kwann alikuwa anatulipa na tunapokea hela?Pascal, haya mambo ni mazito mno, ila sisi tunayachukulia kirahisi sana...
Tume zote zinaendelea kuja na mambo ya kusadikika saaana mpaka nashindwa kuelewa maana ya usomi, data hazieleweki nafikiri ndio maana mtuhumiwa mkuu hapewi hizi report..
Uzalendo ni muhimu, lakini lazima tuangalie udhaifu wa tume tusije tukampa mtuhumiwa mkuu njia za kutokea..
Tumsamehe mzee wetu jamani umri umekwenda. Ni prof. makini sana amenifundisha uchumi UDSM. Kuna watu wengi amewafundisha na wengi ni Madocta kama si maprof hapohapo UDSM.Kuna watu wanasema kwa usomaji ule Profesa kapiga Kitwanga kuliko Kitwanga mwenyewe.
Kuna ukweli hapo jamani?
Maana mara nyingine zile trillioni na bilioni alivyokuwa anazipinda na kusoma kama mtoto anayejifunza kusoma, kusoma anasoma yeye lakini unajisikia vibaya wewe msikilizaji huku.
Wezi wana haki ya kutetewa kwani hujui? Watu wanaua na wanatetewa itakuwa wezi?Naona chadomo humu ndani wa avamia huu uzi na kutetea wezi
Ndio ujinga ulio kujaa.Hao wezi waliletwa na Chadema?unaacha kujadili ukweli unawayawaya na chadema kanakwamba chadema ndio walioongoza mazungumzo ya mikataba.Hebu oneni aibu japo kidogo tu kwaajili ya Mungu.Mliaandaa na maandamano na maazimio lukuki ya kupongeza viongozi wenu wa "chama"(ukweli ni genge la matapeli na wezi tu)kusheherekea wizi wa kizwazwa walio ufanya.Mlidhani wanaibiwa chadema?Leo mjivike uzalendo koko eti mnasikitika mlipoambiwa kipindi kile mlikuwa mmelewa mvinyo?Acheni kujiaibisha sikitikieni dhuluma mliyo ifanya kwa kizazi kijacho si kupongezana kwa uzezeta wenuNaona chadomo humu ndani wa avamia huu uzi na kutetea wezi
Wakati bunge linaonyehwa live uliwahi kufanya nini kwa nchi kama faida ya kuonyesha bunge live, kama sio kukaa unatizama bunge siku nzima ili ukalete ushabiki kwenye vijiwe na ubishani wa simba na yanga..bora walivyozuia ili muda huo ukafanye kazi ulishe ndugu zako!Mimi nilipoona tu watu wanashawishiwa kuangalia live presentation ya report nikajua hamna kitu.
Report inatolewa kama sherehe ya kumtoa mwali? Brass band inapiga mara kina Mrisho mpoto wanatumbuiza, hapo kuna professionalism kweli? Au kutafuta kick za kisiasa?
Kwaninii mtu aliyekataa Bunge lisionyeshwe live kwa kigezo cha gharama na watu kufanya kazi leo ahimize live kwenye mikutano yake kama sio kutafuta kick tu?
Inasikitisha, kila anayetoa maoni tofauti, ushauri kanunuliwa, anatetea wezi...hoja dhaifu kabisa.Pascal Mayalla naona umeshanunuliwa na hawa imperialist...jina lako maana yake ni njaa and am sure wamekununua