Vijisenti
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 544
- 330
Sensa ni zoezi ambalo halina faida kabisa kwa watanzania hususani sensa
hii itakayofanyika. Serikali isiyowajali wanchi wake itafanya nini baada ya
kuwahesabu zaidi ya kuwa ni zoezi au njia ya kutengeneza nafasi ya kufisadi
pesa zetu?
Nitakapokujibu sina kazi utaniajiri?
Nitakapokujibu sina mke utaniozesha?
Nikisema kuna mlemavu utanisaidia?
Watoto utawalea....................?
Ajabu! kwa serikali hii hii ambayo memba wengi tumekuwa
tukiilalamikia leo tunaiunga mkono katika zoezi la sensa kwa
faida ya nani?
Tuache unafiki hata kama tunawachukia waislamu ukweli unabaki
pale pale kuwa sensa haina faida kabisa kabisa kwa Watanzania.
Hakuna huduma yoyote itakayoboreshwa na serikali ya CCM eti kwa
sababu ya kuhesabiwa. Wangekuwa wameanza hapo kabla
tungeamini kuwa ni kweli wana nia nzuri.................
Labda hawa wanaounga mkono kuna manufaa wanayapata.
Serikali ya msumbiji inatoa huduma kwa wazee na kusaidia
mambo mbalimbali ya kijamii. Sensa yake inazingatia kuboresha
huduma hizo.
SENSA YETU IMELENGA KUSAIDIA JAMBO GANI?
hii itakayofanyika. Serikali isiyowajali wanchi wake itafanya nini baada ya
kuwahesabu zaidi ya kuwa ni zoezi au njia ya kutengeneza nafasi ya kufisadi
pesa zetu?
Nitakapokujibu sina kazi utaniajiri?
Nitakapokujibu sina mke utaniozesha?
Nikisema kuna mlemavu utanisaidia?
Watoto utawalea....................?
Ajabu! kwa serikali hii hii ambayo memba wengi tumekuwa
tukiilalamikia leo tunaiunga mkono katika zoezi la sensa kwa
faida ya nani?
Tuache unafiki hata kama tunawachukia waislamu ukweli unabaki
pale pale kuwa sensa haina faida kabisa kabisa kwa Watanzania.
Hakuna huduma yoyote itakayoboreshwa na serikali ya CCM eti kwa
sababu ya kuhesabiwa. Wangekuwa wameanza hapo kabla
tungeamini kuwa ni kweli wana nia nzuri.................
Labda hawa wanaounga mkono kuna manufaa wanayapata.
Serikali ya msumbiji inatoa huduma kwa wazee na kusaidia
mambo mbalimbali ya kijamii. Sensa yake inazingatia kuboresha
huduma hizo.
SENSA YETU IMELENGA KUSAIDIA JAMBO GANI?