Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,402
- 8,891
Nimekuwa nikisikia kila kukicha kuhusu baadhi ya watu kugomea Sensa, hivi ni kwa nini Serikali isiwapige faini wale wote ambao hawatataka kuhesabiwa badala ya kupoteza muda sijui kukamata shehe huyu sijui mwenyekiti wa kijiji yule.
Naona imefika wakati sasa Serikali iwe Serikali hamna kubembelezana tena, tunakuja nyumbani kwako hutaki kuhesabiwa faini na ni lazima ulipe usipolipa tunataifisha mali tunaendelea mbele.
Haiwezekani watu kugomea Sensa ikimbukwe serikali inatumia pesa nyingi sana kwa zoezi hili na watu hao hao wanaolia umaskini kila siku ndio wa kwanza kuhujumu rasilimali zetu!
Naona imefika wakati sasa Serikali iwe Serikali hamna kubembelezana tena, tunakuja nyumbani kwako hutaki kuhesabiwa faini na ni lazima ulipe usipolipa tunataifisha mali tunaendelea mbele.
Haiwezekani watu kugomea Sensa ikimbukwe serikali inatumia pesa nyingi sana kwa zoezi hili na watu hao hao wanaolia umaskini kila siku ndio wa kwanza kuhujumu rasilimali zetu!