Sensa 2012: Yanayojiri

Hawa jamaa tumewasaidia elimu hawataki wanataka kadhi na futari haya twende kaz ipo.
 
Mkuu, hii kitu imekuwa serious sana, mm kuna kijana nimekutana nae nikamuuliza umeishahesabiwa, Akaniambia sina muda huo, anadai hata UN wanataka kipengele cha dini kiwepo, sasa anasema haoni faida ya kuhesabiwa bila kujua dini yake, na pia anadai hata kama wakiwakamata watawapeleka wapi wakati Magereza hayatoshi? Nimefadhaika sana!

acha unafki wewe.. Umefadhaika nin sasa.
 
Haki itashinda kesho, kama leo haitoshi. Haki haigopi tisho, wala nguvu za majeshi . La uongo lina mwisho, namna tunavyoishi. INSHALLAH!
 
Mimi nikisoma hiyo message yako ya mwishoni kwenye red hapo napata shaka.Ngoja tuone mwisho wake
 
Msemo wa kila mtu ataonja mauti mnaukosea,pia nina uhakika huyo unae muabudu hajapendezwa na ulichofanya kwa taarifa yako hujamkomoa yeyote yule pili wapo wengi wamehesabiwa so wewe huta affect chochote
 
Re: SENSA IMENIINGIZIA HASARA
Nimeamka mapema leo nikasema hata kanisani siendi. Nikajiandaa kufanyafanya usafi geto nkaandaa chai na mikate nkapaka mingine jam, peanut butter na mingine blubendi ile ya prestige. Chai niliandaa thermos moja ya rangi ingine maziwa.
Nikaenda kuoga kabisa nikaa kwenye kochi nasoma zangu kitabu cha "Tough times never last, but tough people do" by Robert H. Schuller.
Nimengoja weeeee mpaka saa nne nikampigia rafiki yangu anakaa pale karibu na ferry kabisa kumuuliza vipi labda wameanzia uko kwao so wamechelewa. Akanijibu bado. Basi nikasema watafika mchana.
Nikaenda sokoni fasta wasije wakanikosa wakija...nkanunua maini nusu kilo jamaniiii...nusu kilo maini unajua ni buku nne??! Dah ngoja nifute machozi...
Nkaja home fasta nkamuliza shem wamepita? Akanambia bado nkafurai mm basi fasta nkaingia jikoni kuandaa msosi..ugali maini na mboga ya mchicha pembeni food for four pipoz...
Nkafunika kwa hotpot kabisa. Sa sita..saba..nane..tisa..kumi...kumi namoja na sasa ni 17:43.
Muda wangu wa kwenda mazoezi umepita sijaenda nkidhan watakuja wasinikute. Mechi ya watani zangu Arsenali sijaenda kuangalia kisa wao...
Kwanini lakini wananifanyia ivi? Huku kigamboni vipi hampiti? Mmegoma? Mnawaogopa wapemba ama? Kwann lakini mmeniingiza hasara ivi..kama hamji si mngesema..
Mwenyekiti wa mtaa asubuhi alikua amefunga ofisi..nimepita apo mida hii kuna prado ipo nje wako ndan na nani sijui au mnataka kupika matokeo ya kigamboni?? Wallahi kama sihesabiwi haponi mtu...
Nmemwaga chai ile..naosha vyombo sasa. Najishauri mechi ya liverpool nikaichek ama nisiende? Je bado watakuja? Wanafunga kazi saa nhapi?
Kuanzia jumatatu ntakua natoka kazini jioni mno sasa itakuaje??
Dah...na hii lunch nan atansaidia kula? Heri ningepika wali ningeweka kwa fridge..sasa ugali naufanyiaje mm??!
Wai...jamanieee waambieni wavuke basi.
Au watanikuta kibanda cha kuoneshea mpira. Siezag kuqngalia mpira kwangu mm...inaboa.
Nalog off...mia. Heheh


Mkuu usife moyo ilimradi hukuwa na nia mbaya utahesabiwa tu, hata mimi kwangu hawajafika mpaka mida hii na nasubiri kama wewe
 
Re: SENSA IMENIINGIZIA HASARA
Nimeamka mapema leo nikasema hata kanisani siendi. Nikajiandaa kufanyafanya usafi geto nkaandaa chai na mikate nkapaka mingine jam, peanut butter na mingine blubendi ile ya prestige. Chai niliandaa thermos moja ya rangi ingine maziwa.
Nikaenda kuoga kabisa nikaa kwenye kochi nasoma zangu kitabu cha "Tough times never last, but tough people do" by Robert H. Schuller.
Nimengoja weeeee mpaka saa nne nikampigia rafiki yangu anakaa pale karibu na ferry kabisa kumuuliza vipi labda wameanzia uko kwao so wamechelewa. Akanijibu bado. Basi nikasema watafika mchana.
Nikaenda sokoni fasta wasije wakanikosa wakija...nkanunua maini nusu kilo jamaniiii...nusu kilo maini unajua ni buku nne??! Dah ngoja nifute machozi...
Nkaja home fasta nkamuliza shem wamepita? Akanambia bado nkafurai mm basi fasta nkaingia jikoni kuandaa msosi..ugali maini na mboga ya mchicha pembeni food for four pipoz...
Nkafunika kwa hotpot kabisa. Sa sita..saba..nane..tisa..kumi...kumi namoja na sasa ni 17:43.
Muda wangu wa kwenda mazoezi umepita sijaenda nkidhan watakuja wasinikute. Mechi ya watani zangu Arsenali sijaenda kuangalia kisa wao...
Kwanini lakini wananifanyia ivi? Huku kigamboni vipi hampiti? Mmegoma? Mnawaogopa wapemba ama? Kwann lakini mmeniingiza hasara ivi..kama hamji si mngesema..
Mwenyekiti wa mtaa asubuhi alikua amefunga ofisi..nimepita apo mida hii kuna prado ipo nje wako ndan na nani sijui au mnataka kupika matokeo ya kigamboni?? Wallahi kama sihesabiwi haponi mtu...
Nmemwaga chai ile..naosha vyombo sasa. Najishauri mechi ya liverpool nikaichek ama nisiende? Je bado watakuja? Wanafunga kazi saa nhapi?
Kuanzia jumatatu ntakua natoka kazini jioni mno sasa itakuaje??
Dah...na hii lunch nan atansaidia kula? Heri ningepika wali ningeweka kwa fridge..sasa ugali naufanyiaje mm??!
Wai...jamanieee waambieni wavuke basi.
Au watanikuta kibanda cha kuoneshea mpira. Siezag kuqngalia mpira kwangu mm...inaboa.
Nalog off...mia. Heheh

Mbwembwe zote za nini hizi? ni nani alyekwambia anafuata chai kwako? sensa si lazima uwepo nyumbani mimi nilikuwa peke yangu nyumbani lakini kaya yangu wote wamehesabiwa ni mimi ndio nilikuwa natowa maelezo yao. au wewe ni muhaya?
 
mashallah, hongera sana.
ALLAH akuzidishie kheri.
Tuko pamoja ndugu yangu.
Dhulma tunayofanyiwa itakwisha karibuni, tuendelee kupambana.
 
You worship Mohammed, and you call yourself a moslem. To me you sound the most stupid idiot for denying census,... lol, ignorance is the best enemy.

Ni kweli huelewi? au ni athari ya damu ya yesu inayotengenezwa Ilala?
 
Haki itashinda kesho, kama leo haitoshi. Haki haigopi tisho, wala nguvu za majeshi . La uongo lina mwisho, namna tunavyoishi. INSHALLAH!

umenena vyema sana, haki itashinda tu Inshaalah na kuiondoa dhuluma hata kama itachukua muda.
 
Back
Top Bottom