Sensa 2012: Yanayojiri

Sensa 2012: Yanayojiri

Kuna jamaa mwenye umr wa 34 na elm yake MBA lakina akasema ana umr 24 na elm la7. Nomaa...
 
mohamed Shoshi,

Hizo takwimu za uongo ndio zimekuwa zikitumiwa katika uteuzi na maamuzi kama ilivyo elezwa kuwa Tanzania haiwezi kujiunga na Jumuiya ya Kiislam ya OIC kwa sababu raia Wakiristo ni wengi kuliko Waislam.

Hizo takwimu za uongo ndio zimefanya hata serikali Wakiristo ni wengi...Wakuu wa Wilaya wapo 133. Waislam 42 Wakiristo 91 Mawaziri Waislam 9 Wakiristo 21. Manaibu Waislam 8 Wakiristo 17.

Hii nchi tunapoelekea tutakuja kupigana mitutu siku moja.

Ritz, umekuwa mtetezi wa serikali ktk mambo mengi kias kwamba nashawishika kuamini kwamba una nafasi kubwa serikalini au kwenye chama tawala na hivyo una nafasi ya kufanya mabadiliko kwa kuongea na wahusika wakuu moja kwa moja. Wengine hapa tunachanganyikiwa, maana muda wote mnaisemea serikali-mnashindwaje kujisemea nyie wenyewe?

Kama vile nisivyounga mkono wanawake wachaguliwe kwa sababu ni wanawake, sipendi mtu apewe madaraka kwa sababu ni mkristo/muislam. Pia sipendi, mlemavu apewe cheo kwa sababu ni mlemavu-napenda apewe nafasi kwakuwa anaweza kuitumikia ipasavyo,japokuwa ni mlemavu.

Nasikitika sana ninapoona, viongozi wote uliowataja hapo juu wanateuliwa na rais na rais ni muislam. Hapa kuna mambo matatu: 1. Rais ni muadilifu na hivyo anaangalia zaidi uwezo kuliko dini. 2. Rais hawapendi waislamu japo yeye ni muislamu. 3. Rais wetu ni dhaifu, hivyo anawachagua wakristo wengi zaidi kwa kuwaogopa wakristo na "mfumo kristo".

Binafsi, sikubaliani na namba 2 na 3, kwahiyo naona propaganda tu hapa ambazo ni kama janga ambalo kila mtu atakula na wakwao. By the way, wakristo ni wakina nan? Ni wakatoliki? Walutheli? Walokole? Deep down, hakuna "wakristo", kuna madhehebu ya kikristo.
 
Wanamgambo wa Kiislamu wa Taliban wamewachijna wanawake wa kiislamu kwa kosa la kuhudhuria kwenye muziki huko Kandahar.
Source: DW mchana huu.

My Take: kelele zote hizi ni kutaka kutuletea sheria za kishenzi na kiuwendawazimu kama hawa Waislamu wa Taleban.

support!
 
Nauliza hivi kwakuwa Makarani wa Sensa huuliza idadi ya watu kwenye kaya, Mkuu wa kaya,elimu yao,na kama wana ulemavu. Basi. Makarani hao wa Sensa wenye vikoti kama vya Trafiki au wafanyakazi wa ujenzi wa barabara hupata mambo hayo toka kwa ya yeyote wanayemkuta. Akikutwa mwenye uelewa mdogo ndio imetoka. Ni uhuni na usanii mtupu. Ni ulaji wa fedha tu. Au Sensa yetu Kibaha ni tofauti?
 
Sisi kwetu walimkuta shemeji yangu-ambaye ni mke wa kaka. Maswali mengi,kwa mujibu wake,amejibu sijui. Hasa ya umri na elimu. Elimu yangu tu ndio amesema 'CHUO kikuu'. Yaani...
 
km huku kwetu Baba anaweka msimamo hahesabiwi kwa sababu walishaamua, sasa km Mama (Mke) na watoto wanajua majibu yake wamsubiri wa nini wakati yeye alilala humo ndani. Hata wewe km Mkeo hayupo mjazie si Elimu yake unaijua?
Je nyumba ni ya nani
ya kupanga au ya kwako?
imejengwa kwa saruji?
ina sakafu ya saruji
una Runinga
una simu ya mkononi?
sensa inaenda vizuri saaanaaaa waliotaka yasiwe wameumbuka
 
Sisi kwetu walimkuta shemeji yangu-ambaye ni mke wa kaka. Maswali mengi,kwa mujibu wake,amejibu sijui. Hasa ya umri na elimu. Elimu yangu tu ndio amesema 'CHUO kikuu'. Yaani...

Sijui ni option pia, na ipo kwenye dodoso. Au wewe ulitakaje, wakufuate ulipoenda?

Kubwa zima halioni aibu kusema linakaa kwa kakaake. Akili za kula bure bwana
 
Ritz, umekuwa mtetezi wa serikali ktk mambo mengi kias kwamba nashawishika kuamini kwamba una nafasi kubwa serikalini au kwenye chama tawala na hivyo una nafasi ya kufanya mabadiliko kwa kuongea na wahusika wakuu moja kwa moja. Wengine hapa tunachanganyikiwa, maana muda wote mnaisemea serikali-mnashindwaje kujisemea nyie wenyewe?

Kama vile nisivyounga mkono wanawake wachaguliwe kwa sababu ni wanawake, sipendi mtu apewe madaraka kwa sababu ni mkristo/muislam. Pia sipendi, mlemavu apewe cheo kwa sababu ni mlemavu-napenda apewe nafasi kwakuwa anaweza kuitumikia ipasavyo,japokuwa ni mlemavu.

Nasikitika sana ninapoona, viongozi wote uliowataja hapo juu wanateuliwa na rais na rais ni muislam. Hapa kuna mambo matatu: 1. Rais ni muadilifu na hivyo anaangalia zaidi uwezo kuliko dini. 2. Rais hawapendi waislamu japo yeye ni muislamu. 3. Rais wetu ni dhaifu, hivyo anawachagua wakristo wengi zaidi kwa kuwaogopa wakristo na "mfumo kristo".

Binafsi, sikubaliani na namba 2 na 3, kwahiyo naona propaganda tu hapa ambazo ni kama janga ambalo kila mtu atakula na wakwao. By the way, wakristo ni wakina nan? Ni wakatoliki? Walutheli? Walokole? Deep down, hakuna "wakristo", kuna madhehebu ya kikristo.
Mkuu ebu tujaribu kujadili kwa mantiki hiyo hiyo uloitumia hapo. Ikiwa wananchi hawajawahi kuhesabiwa toka mwaka 1967 kwa dini zao, hizi takwimu za kuonyesha Waislaam nchini ni wangapi na Wakristu wangapi zinatoka wapi?. Kama sio 2 au 3 kwa nini serikali imeingia muafaka na dini moja kuendesha Elimu na Afya nchini wakati dini nyinginezo zimeachwa wala wasirufishiwe mali zao.

Mfumo Kristu ni mfumo ulotumika wakati wa Ukoloni na hakuna adui mkubwa wa Watanzania kama ELIMU na AFYA na inapofikia vyombo hivyo vinawekwa mikononi mwa kundi moja kajka walivyofanya wakoloni huoni kama ni mfumo ule ule wa wakoloni?..

Kwa nini mnaogopa senda kuweka kipengele cha dini ikiwa mnaamini hakuna bauya linalofanyika? Binafsi yangu mnanipa mashaka ambayo hayakuwepo maana sioni sababu ya kuogopa kipengele hiki unless kweli kuna siri fulani inafanyika. kwa nini tusifanye jitihadi ku prove them wrong (sensa nhii) badala yake tunataka uendelea kuficha kisichokuwepo..
 
Ni ujinga kwani hao walipotoka huko station hawajakata ticket??? Kwann wasichukua takwimu za kwenye Rail station?

Kama hutanii basi ujinga ni huu unaoongea wewe na wengine wote wanaodhani jambo lililofanyika ni baya. Hivi kwa akili tu ya kawaida, mkiwa tayari mmeambiwa kuwa mtu atahesabiwa alipolala, na usiku umekukutia upo kwenye treni, ulitaka wakahesabiwe wapi?

Kwa jinsi tulivyo mabwege na wapenda kunung'unika, shirika lingeahirisha safari mpk sensa ipite pia kungekuwa na maandamano. Tuache mambo ya kipuuzi, sensa ni mpango wa kila mtu kuhesabiwa sasa hiyo haijalishi upo wapi, hata viwanja vya ndege viliwekwa makarani ili kuwahesabu wote ambao usiku wa sensa umewakuta katika ardhi yetu.

Hivi kwenye ticket kuna maelezo ya umri wako, jinsia, elimu, uraia, n.k?
 
mohamed Shoshi,

Hizo takwimu za uongo ndio zimekuwa zikitumiwa katika uteuzi na maamuzi kama ilivyo elezwa kuwa Tanzania haiwezi kujiunga na Jumuiya ya Kiislam ya OIC kwa sababu raia Wakiristo ni wengi kuliko Waislam.

Hizo takwimu za uongo ndio zimefanya hata serikali Wakiristo ni wengi...Wakuu wa Wilaya wapo 133. Waislam 42 Wakiristo 91 Mawaziri Waislam 9 Wakiristo 21. Manaibu Waislam 8 Wakiristo 17.

Hii nchi tunapoelekea tutakuja kupigana mitutu siku moja.

hii haikubaliki bana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ebu tujaribu kujadili kwa mantiki hiyo hiyo uloitumia hapo. Ikiwa wananchi hawajawahi kuhesabiwa toka mwaka 1967 kwa dini zao, hizi takwimu za kuonyesha Waislaam nchini ni wangapi na Wakristu wangapi zinatoka wapi?. Kama sio 2 au 3 kwa nini serikali imeingia muafaka na dini moja kuendesha Elimu na Afya nchini wakati dini nyinginezo zimeachwa wala wasirufishiwe mali zao.

Mfumo Kristu ni mfumo ulotumika wakati wa Ukoloni na hakuna adui mkubwa wa Watanzania kama ELIMU na AFYA na inapofikia vyombo hivyo vinawekwa mikononi mwa kundi moja kajka walivyofanya wakoloni huoni kama ni mfumo ule ule wa wakoloni?..

Kwa nini mnaogopa senda kuweka kipengele cha dini ikiwa mnaamini hakuna bauya linalofanyika? Binafsi yangu mnanipa mashaka ambayo hayakuwepo maana sioni sababu ya kuogopa kipengele hiki unless kweli kuna siri fulani inafanyika. kwa nini tusifanye jitihadi ku prove them wrong (sensa nhii) badala yake tunataka uendelea kuficha kisichokuwepo..

Sensa haifanywi kwa kuwa watu wanaogopa au hawaogopi. Sensa haifanywi vilevile ili kuondoa kiu ya makundi kimtizamo. Sensa hufanywa ili kuweza kupata takwimu zitakazoiwezesha serikali kufikia maamuzi fulani kwa usahihi. Hapa kwetu hatuna jambo lolote tunalolifanya kwa msingi wa dini.

Na mbona mnakazana sana juu ya wakristo na waislamu, kwani nchi hii ina dini mbili tu? Hapo kwenye bold, unaonaje hayo madai yenu mngeyapeleka kwa aliyetoa hizo takwimu mnazozilalamikia? Mwambieni amekosea kwa hiyo mnataka mfanye kwa pamoja. Hii ya serikali ni kwa ajili ya maendeleo.
 
Sensa haifanywi kwa kuwa watu wanaogopa au hawaogopi. Sensa haifanywi vilevile ili kuondoa kiu ya makundi kimtizamo. Sensa hufanywa ili kuweza kupata takwimu zitakazoiwezesha serikali kufikia maamuzi fulani kwa usahihi. Hapa kwetu hatuna jambo lolote tunalolifanya kwa msingi wa dini.

Na mbona mnakazana sana juu ya wakristo na waislamu, kwani nchi hii ina dini mbili tu? Hapo kwenye bold, unaonaje hayo madai yenu mngeyapeleka kwa aliyetoa hizo takwimu mnazozilalamikia? Mwambieni amekosea kwa hiyo mnataka mfanye kwa pamoja. Hii ya serikali ni kwa ajili ya maendeleo.
Mkuu nadhani huelewi maana ya mjadala. Tunaobishana hapa ni Waislam na Wakristu hakuna pagan alokuja na kujieleza hivyo majibu yangu yanawaelekea wadau wa hoja hii. hapo bold nimetoa hoja kuuliza hizo takwimu mnazipata wapi? nijibu kwanza halafu weka swali la nyongeza sio kuruka swali langu na kuanza kutafsiri upendavyo.

Ni kweli sensa haifanyiki kwa kuogopa lakini ajabu mnaogopa! ndio ukweli naozungumza hapa. Sensa inafanywa kwa kutoogopa na kujua makundi ya Kijamii ili kuwajengea msingi wa maendeleo (Policy na Programs), hii ndio maana kamili ya sensa na sio hesabu ya vichwa, hawa ni binadamu waliotengana ktk jamii za uzalishaji wala sio machungwa ama ng'ombe unawapeleka malishoni. Maendeleo yao yanapatikana kutoka kwao wao sio serikali ya kijamaa tena, hivyo jumuiya zao zinahusiaka moja kwa moja ktk maendeleo hayo.

Halafu unaposema hapo kwenu una maana gani? mbona shuel na Hospitla zinaendeshwa na vuyombo vya dini ebu ondoa jina la dini hizo kama mtakubali?.. Shule inaitwa Saint Michael au Almuntazil unataka kunambia hizi zina maana gani.. Mkuu wangu binafsi I believe in separation of the Church na State lakini kama vyombo vya dini vinaingilia mambo ya state huwezi kunambia hatufuati kwa sababu wewe mkristu kt kitabu lakini nje unashirikisha serikali na church - samahani. Swala hapa sio kati ya Wakristu na waislaam bali serikali na vyombo hivi.
 
km huku kwetu Baba anaweka msimamo hahesabiwi kwa sababu walishaamua, sasa km Mama (Mke) na watoto wanajua majibu yake wamsubiri wa nini wakati yeye alilala humo ndani. Hata wewe km Mkeo hayupo mjazie si Elimu yake unaijua?
Je nyumba ni ya nani
ya kupanga au ya kwako?
imejengwa kwa saruji?
ina sakafu ya saruji
una Runinga
una simu ya mkononi?
sensa inaenda vizuri saaanaaaa waliotaka yasiwe wameumbuka

waambie hao waso uelewa, wabishi wote ukiwakagua ni darasa la saba. Afu wanajiita waislam jihad, wakat mke la saba, mkuu wa kaya la saba, mtoto la saba..jihad ya leo kwa elimu hyo haiwezekan.
 
Sisi kwetu walimkuta shemeji yangu-ambaye ni mke wa kaka. Maswali mengi,kwa mujibu wake,amejibu sijui. Hasa ya umri na elimu. Elimu yangu tu ndio amesema 'CHUO kikuu'. Yaani...

kwa hiki ulichokiongea hapa sidhan kama kweli we una elimu ya chuo kikuu..
 
Mkuu ebu tujaribu kujadili kwa mantiki hiyo hiyo uloitumia hapo. Ikiwa wananchi hawajawahi kuhesabiwa toka mwaka 1967 kwa dini zao, hizi takwimu za kuonyesha Waislaam nchini ni wangapi na Wakristu wangapi zinatoka wapi?. Kama sio 2 au 3 kwa nini serikali imeingia muafaka na dini moja kuendesha Elimu na Afya nchini wakati dini nyinginezo zimeachwa wala wasirufishiwe mali zao.


Mfumo Kristu ni mfumo ulotumika wakati wa Ukoloni na hakuna adui mkubwa wa Watanzania kama ELIMU na AFYA na inapofikia vyombo hivyo vinawekwa mikononi mwa kundi moja kajka walivyofanya wakoloni huoni kama ni mfumo ule ule wa wakoloni?..

Kwa nini mnaogopa senda kuweka kipengele cha dini ikiwa mnaamini hakuna bauya linalofanyika? Binafsi yangu mnanipa mashaka ambayo hayakuwepo maana sioni sababu ya kuogopa kipengele hiki unless kweli kuna siri fulani inafanyika. kwa nini tusifanye jitihadi ku prove them wrong (sensa nhii) badala yake tunataka uendelea kuficha kisichokuwepo..

Kaka, toka nimejiunga na JF, nimekufahamu kama mtu ambaye yuko objective, sijawahi kushawishika kuhoji msimamo wako ktk masuala mbali mbali, wala sitaanza leo.

Nimesoma post zako ktk hii thread, sikushawishika kuhoji kwasababu nilielewa mantiki yako hata kama siamini unachokisema kwa 100%. Maoni yangu niliyaelekeza kwa Ritz kutokana na msimamo wake.

Nikirudi ktk hoja zako; nani mwenye jukumu la kutoa takwimu? Kwa mujibu wa JK, NBS pekee ndio wenye mamlaka ya kutoa takwimu. Serikali ina uwezo wa kumuzuia mtu au taasisi yoyote kutoa takwimu ikiwemo mimi na wewe hapa kwenye mtandao?Kuna ugumu kidogo..

Hakuna mahali ktk post yangu niliposema kipengele cha dini kisiwekwe. Wacha kiwekwe tu, pamoja na vipengele vingine kama kabila, sexual orientation, n.k. Nisichopenda ni kuona hii ndo inafanywa kuwa "ishu" ya liwalo na liwe! Ushauri: Rais ni msikivu, viongozi wa kiislamu wakaongee naye. Ukimpa rais ultimatum unamfanya awe defensive. Hao wanaopata ruzuku ktk afya na elimu nao waligomea sensa? Hizi harakati na "fujo" ndizo zinafanya uislam uwe na image mbaya.

Viongozi wa kislamu wamefikia wapi ktk kudai mkataba na serikali toka Rais atamke akiwa dodoma kwamba hawajaomba wakati "wenzao" waliomba?
 
Mkuu nadhani huelewi maana ya mjadala. Tunaobishana hapa ni Waislam na Wakristu hakuna pagan alokuja na kujieleza hivyo majibu yangu yanawaelekea wadau wa hoja hii. hapo bold nimetoa hoja kuuliza hizo takwimu mnazipata wapi? nijibu kwanza halafu weka swali la nyongeza sio kuruka swali langu na kuanza kutafsiri upendavyo.

Ni kweli sensa haifanyiki kwa kuogopa lakini ajabu mnaogopa! ndio ukweli naozungumza hapa. Sensa inafanywa kwa kutoogopa na kujua makundi ya Kijamii ili kuwajengea msingi wa maendeleo (Policy na Programs), hii ndio maana kamili ya sensa na sio hesabu ya vichwa, hawa ni binadamu waliotengana ktk jamii za uzalishaji wala sio machungwa ama ng'ombe unawapeleka malishoni. Maendeleo yao yanapatikana kutoka kwao wao sio serikali ya kijamaa tena, hivyo jumuiya zao zinahusiaka moja kwa moja ktk maendeleo hayo.

Halafu unaposema hapo kwenu una maana gani? mbona shuel na Hospitla zinaendeshwa na vuyombo vya dini ebu ondoa jina la dini hizo kama mtakubali?.. Shule inaitwa Saint Michael au Almuntazil unataka kunambia hizi zina maana gani.. Mkuu wangu binafsi I believe in separation of the Church na State lakini kama vyombo vya dini vinaingilia mambo ya state huwezi kunambia hatufuati kwa sababu wewe mkristu kt kitabu lakini nje unashirikisha serikali na church - samahani. Swala hapa sio kati ya Wakristu na waislaam bali serikali na vyombo hivi.

Hatuogopi, ila hatuoni sababu.

Mimi nafikiri sensa inafanywa na serikali, na inafanywa kwa makusudi maalum. Kuwatambua wananchi wake, idadi, shughuli zao za uchumi, hali za afya na uzazi n.k. Kwa kila kipengele hapo, serikali imelenga kupata takwimu zake kwa sababu fulani. Na ni kwa sababu hiyo serikali inaingia gharama za kuhesabu watu na kujua taarifa zao. Sasa ni yepi yatakuwa makusudi ya serikali kutaka kuwajua watu kwa dini zao? (Hili la kwanza)

Kwenye suala la umiliki wa wa shule mkuu huo utakuwa ubishi wa kitoto. Hivi shule ya St. Sebastian inakuwa inahusiana vipi na serikali ikiwa wewe umeshasema ni ya taasisi ya dini? Manake unaposema kama mtakubali nashindwa kuelewa unalenga nini. Kwani ukishajua idadi ya waislamu na wakristo kutakuwa na tofauti ipi ya umiliki wa kitu ambacho si chako?

Halafu hebu tuje wenye uislamu wenyewe: Hivi leo ikitulazimu kuwatambua waislamu, kipi kitakuwa kigezo? Watu wataitwa na kutabulika kuwa waislamu kwa kanzu na ndevu au kwa majina yao?

Nauliza hivi kwa kuwa juzi tu, hapa hapa JF kulizuka matusi na kashfa nyingi juu ya Mufti wenu wenyewe kiasi cha wengine kumuita KAFIR yeye pamoja na ma-kadhi aliowachagua mkiwashutumu kuwa ni vibaraka wa serikali. Kwa mujibu wa maelezo yenu, mtu yeyote mwenye kupinga maendeleo ya Uislamu ni KAFIR.

Sasa ikiwa baadhi yenu mlishapanga kugomea sensa, na hilo likachukuliwa (miongoni mwenu) kuwa ndio jambo jema kwa uislamu, ina maana wote wanaounga mkono sensa ni makafir. Rais wa nchi, viongozi wa BAKWATA na vyama vingine vya dini yenu na Watanzania wote ni makafir. Je, ingekuwa ndio wewe Mkuu Mkandara umepewa jukumu la kuwahesabu Waislamu na kupata idadi yao, wanaounga mkono sensa utawahesabu kama waislamu au sio waislamu?
 
kadada kamoja kakarani ka sensa na kakoti kake kaniuliza,"vipi hali yako ya ndoa ,umeoa",na mie nikamuuliza palepale "na wewe umeolewa" kakabaki kanacheka cheka tu
 
Majitu ya sensa majinga sana kwa hapa mbea mjini yanafanya hovyooo kabisa masenzi sana yanafabricate data pambafu yanalighalimu taifa yamepita nyumbani hapa na kuwajohi wacio husika kwamba kuna watu wanne wakati tuko takribani kumi na tatu ko watu wengine hatujawa hncruded pambf nimechukia mods mnisaidie kuyadharahu haya majitu majinga machache ya sensa mengine kama hayajui hata kusoma, yamenikera af mengi yamechaguliwa kwa rushwa yamenikeraa yameharibu mpaka furaha yangu ya sensa kuhesabhwa kama mkuu wa kaya j the key.
 
Back
Top Bottom