Kama kilikuwa na umuhimu wakati ule ndio lazima umuhimu huo uwepo wakati huu?Una maana gani unaposema kila nchi ina misingi yake? je sensa ya mwanzo baada ya uhuru mbona kipengele cha dini kilikuwepo? tulifata msingi wa nani? na kwanini nyerere alikitoa kipengele hicho mwaka 77? au ndio ilikuwa kwa malengo maalum kama ulivyosema?
Magaidi wanakuwa wanatokea kwenye dini gani mkuu?Kipengele hicho serikali ya UK kinawasaidia kujuwa kasi ya magaidi wanaoingia na kuishi UK ili kuandaa strategy na kudhibiti magaidi.
Mkuu kwa mgogoro huu ambao baadhi ya wahuni wa kiislam wameuanzisha wasitegemee mafanikio kwenye madai yao yoyote yenye msingi wa kihuni huni kama huuMuache Mungu aitwe Mungu, UK Waislamu wanapewa haki ya kuabudu ikiwemo kubadili matumizi majengo wanayonunuwa, wenye akili fupi wanadhani eti ndio wanaungamiza Ukristo! huu ni upuuzi to the maximum, ndio maana sishangai Wakristo kubanwa na kukosa haki ya kuabudu kwenye nchi za kiislamu, na hiyo ndio ajenda iliyojificha kwenye nchii & we will not allow or tololence this.
Huo ni upumbafu..mbona hawasimamishi ndege..yaaani hii nchi bana
Jamani wadau hebu tushirikiane kufikiri katika hili. Mimi ni miongoni mwa makarani wa sensa hapa Dodoma kata ya K/NDENGE, jana nilipewa madodoso 40 na nikamaliza yote, leo nampigia simu msimamizi ili aniletee madodoso mengine naambiwa niende ofisi ya kata nikachuke, kufika hapo ofisini nakutana na vioja eti,ofisi imefungwa na mwenye ufunguo hayupo, hapo nikakutana na makarani wenzangu wenye tatizo kama langu tukaamua kupiga simu kwa mratibu wa sensa Dodoma mjini ambae anaitwa CHE MPONDA anajibu kwamba, madodoso ndiyo yapo GAIRO yanaletwa kwahiyo tusubiri.Nikajaribu kufuatilia kwa makarani wenzangu kata mbalimbali naambiwa yaani zoezi ni la kisiasa zaidi kwani maandalizi yanaoneka ni ya zimamoto bz hata baadhi ya vifaa vingine kama mabox ya kuhifadhia,sare,penseli 2-HB vichongeo nk havitoshi, halikadharika ramani za EA hazitoshi hivyo nyingine ikabidi zichorwe kwa mkono. Wadau plz tupieni maoni yenu hapa.
View attachment 62927View attachment 62928
Nimekaa home na bakora na kilemba km ilivyo mila za kiislam; jamaa wa sensa kapita nyumba yangu '' nn tatizo la kunipita ?
Mimi nimekesha nikidhani watakuja usiku...
Nazungumzia vitu vidogo ambavyo hauhitaji kuingia sana kwenye historia ili uvitambue. Jana nilitoa mfano wa Ujerumani.Una maana gani unaposema kila nchi ina misingi yake? je sensa ya mwanzo baada ya uhuru mbona kipengele cha dini kilikuwepo? tulifata msingi wa nani? na kwanini nyerere alikitoa kipengele hicho mwaka 77? au ndio ilikuwa kwa malengo maalum kama ulivyosema?
Jamani wadau hebu tushirikiane kufikiri katika hili. Mimi ni miongoni mwa makarani wa sensa hapa Dodoma kata ya K/NDENGE, jana nilipewa madodoso 40 na nikamaliza yote, leo nampigia simu msimamizi ili aniletee madodoso mengine naambiwa niende ofisi ya kata nikachuke, kufika hapo ofisini nakutana na vioja eti,ofisi imefungwa na mwenye ufunguo hayupo, hapo nikakutana na makarani wenzangu wenye tatizo kama langu tukaamua kupiga simu kwa mratibu wa sensa Dodoma mjini ambae anaitwa CHE MPONDA anajibu kwamba, madodoso ndiyo yapo GAIRO yanaletwa kwahiyo tusubiri.Nikajaribu kufuatilia kwa makarani wenzangu kata mbalimbali naambiwa yaani zoezi ni la kisiasa zaidi kwani maandalizi yanaoneka ni ya zimamoto bz hata baadhi ya vifaa vingine kama mabox ya kuhifadhia,sare,penseli 2-HB vichongeo nk havitoshi, halikadharika ramani za EA hazitoshi hivyo nyingine ikabidi zichorwe kwa mkono. Wadau plz tupieni maoni yenu hapa.
Phillimoni umenena. haiingii akilini kama tarehe ilishapangwa iweje vifaa visifike kwa muda muafaka? huu ni ufisadi mwingine
Nazungumzia vitu vidogo ambavyo hauhitaji kuingia sana kwenye historia ili uvitambue. Jana nilitoa mfano wa Ujerumani.
Nikasema serikali inakusanya kodi ya kanisa(kirchensteur) kwa wakristu kusaidia kuondesha shughuli za Kanisa. Ni secular lakini kuna vitu vinaashiria imeegemea sana kwenye ukristu.
Nchi nyingi za Europe na zenyewe zipo more or less the same. Zipo baadhi ambazo hadi serikali inalipa mishara ya shule za kidini za wakristu. Nchi nyingi za Europe kunakuwa na public holidays kwenye siku za sherehe za wakristu . Ukienda huko UK yako ndiyo unamkuta malkia akiwa head of the church of England. Kwenye bunge lao house of lords kuna maaskofu n.k.
Ninachosema hapa ni kwamba hizi nchi(siyo zote) pamoja na kwamba zinajiita za kisecular lakini zimeegemea upande Ukristu na kwao ina maana kubwa wanapoweka kipengele cha dini kwa sababu serikali zao zinahusika moja kwa moja kwenye kusaidia kuendesha mambo ya Kanisa. Naomba usiingieze MOU hapa, ni vitu tofauti.
Sisi ni watanzani na ni lazima tuangalie mazingira yetu. Siyo kila kitu wanachofanya nchi zilizoendelea na sisi tuige.
Hivi mkuu wangu, Waislam wanashindwa kutengeneza utaratibu wao wa kujihesabu wenyewe kwenye Misikiti yao?
Hivi hizo data za dini zikiwekwa kwenye sensa ni dini ipi itakubali hizo data?
Kila dini itakayoonekana ina watu pungufu itasema data zimechakachuliwa. Nakuhahakikisha 100% hakutakuwa na kukubaliana na mwisho wake utakuwaje??
Tusiige kila kitu wajameni.
who do u think anaeza tuongoza ?
Angalia nilipo underline. Nimekuuliza awali hivi kuna dini inaweza kukubali matokeo yatakayoonyesha ina wafuasi pungufu?Sensa ya mwanzo ya Tanzania huru iliyoungana iifanyika mwaka 1967 na hii ilikuwa ni sensa ya mwisho kuuliza swali la dini. Sensa zilizobaki zilifanyika mwaka 1978, 1988 na 2002. Sensa ya mwaka huu, 2012 itakuwa ni ya saba katika historia ya nchi yetu na ya tano ya Tanzania huru iliyoungana.
Sensa ya mwisho ya Tanganyika chini ya mkoloni wa Kiingereza katika mwaka 1957 ilionyesha kuwa Tanganyika ina Waislamu 58%, Wakristo 32% na Wapagani 10%. Uwiano kati ya Waislamu na Wakristo ilikuwa ni karibu 2:1 yaani kila penye watu watatu, 2 ni Waislamu na 1 ni mkristo, vile vile unaweza kusema waislamu walikuwa ni karibu mara mbili ya wakristo kiidadi Tanzania.
Mwaka 1967 ndio uliotoa matokeo ya ajabu ambayo mpaka leo sio tu Waislamu bali mtu yoyote aliye na akili timamu ana haki ya kuhoji matokeo hayo. Matokeo haya yalionyesha mgawanyiko wa kidini kama ifuatavyo: WAKRISTO: 33.5% yaani wameongezeka kwa 1.5% kulinganisha na sensa ya 1957. WAISLAMU: 31.4% yaani wamepungua kwa 26.6% katika kipindi cha miaka 10 tu. Hii haikuwahi kutokea sehemu yoyote Duniani iwapo sehemu hiyo haikukabiliwa na janga kama vile vita au jambo lolote lilisababisha idadi kubwa ya watu kufariki. Hata china ambayo imeweka sheria ya kuzaa mtoto mmoja tu basi haikuwahi kupungikiwa na watu au kundi fulani la watu katika nchi yao. WAPAGANI: 34.3% yaani wameongezeka kwa 24.3% kwa kipindi cha miaka 10.
Haya nayo ni maajabu, yaani unaweza ukadhani labda Tanzania ina tatizo la Waislamu kuwacha dini yao na kuwa wapagani. Hili nalo halina ushahidi wowote kuwa lilitokea katika kipindi hicho.
Angalia nilipo underline. Nimekuuliza awali hivi kuna dini inaweza kukubali matokeo yatakayoonyesha ina wafuasi pungufu?