Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
kumbe ni mungu wenu ndio kawaamuru msusie sensa!! Hapo ndio nasemaga mungu wenu lazima apimwe akili na marehemu mohamad (rip) anatuletea mavurugu tu hapa duniani
Jua likizama jioni kama utalitazama ukiwa pwani utaona kama limezama baharini, ile mbingu inayoonekana imegusa bahari au hata nchi kavu huitwa HORIZON, kwa mamilioni ya miaka watu wengi hawakuwahi kufikiria jua linazama wapi na mbele ya horizon kuna nini!
Usipopanua ufahamu wako hadi kuvuka dini yako au imani yako, wewe ni dubwasha tu, ubongo unatumikia watu wengine! Ubongo wako na ule wa Mahatma Gandhi ni sawa tu ila matumizi yake ndio mnatofautiana. Toka humo kwenye kiberiti cha woga wa dini!
nchi hii tunakoelekea tutachapana ngumi, wakristo wangekuwa na akili kama zenu watu wa uamsho kungekuwa hakukaliki lakini kwa mwendo huo itabidi wakristo kama wapo waamke na kulianzisha pia kwasababu mmezidi....huyo mungu wenu nina mashaka naye kama ni mungu wa kweli au la...
Sensa ni zoezi linalotakiwa mtu akubaliane nalo bila kulazimishwa itakapotokea mtu kulazimishwa atatoa taarifa za uongo ambazo hazitasaidia kuleta tunachotarajia hivyo cha muhimu hapa sio kulazimishana au hata kupelekana rumande ni kutumia hekima na upole ili kupata tunachotarajiaIngependeza sana endapo hilo lingefanikiwa asiyetaka kuhesabiwa kwa hiari ahesabiwe kwa virungu akiwa rumande!
At least Ubongo wangu haungozwi na kina MOKIWA + MTIKILA. Tehe! Tehe! Take care Brother.
Hayo unayosema yanawezekana kwenye nchi zilizoendelea na zenye ustaraabu Tanzania bado yaani tunatakiwa kuwa na utawala wa kusukuma watu kutenda wajibu wao., nchi sasa hivi inatakiwa itawaliwe na mtu mwenye mkono wenye nguvu kwa miaka mitano kumi hivi ili kuwa shape watu baada ya hapo ndio demokrasia irudi tena!!Sensa ni zoezi linalotakiwa mtu akubaliane nalo bila kulazimishwa itakapotokea mtu kulazimishwa atatoa taarifa za uongo ambazo hazitasaidia kuleta tunachotarajia hivyo cha muhimu hapa sio kulazimishana au hata kupelekana rumande ni kutumia hekima na upole ili kupata tunachotarajia
acha unafki wewe.. Umefadhaika nin sasa.
Aliye gombea ubunge Tanga kwa ticketi ya CHADEMA 2010 amekamatwa kwa kuwashawishi watu wasihesabiwe. Kuna haja ya kutoa semina elekezi kwa viongozi wetu waliopo na watarajiwa kwan pia huko tabora kiongoz mmoja wa chadema nyumba yake imekutwa na bango "hatuhesabiwi"
Source: channel ten saa moja.........
Hayo unayosema yanawezekana kwenye nchi zilizoendelea na zenye ustaraabu Tanzania bado yaani tunatakiwa kuwa na utawala wa kusukuma watu kutenda wajibu wao., nchi sasa hivi inatakiwa itawaliwe na mtu mwenye mkono wenye nguvu kwa miaka mitano kumi hivi ili kuwa shape watu baada ya hapo ndio demokrasia irudi tena!!