Hivi nyie watu kwa akili zenu mnafikiri CCM itaenda kila nyumba na kugawa zaka kama maendeleo hivyo wanahcotaka kujua ni hesabu ya vichwa. Hivi kweli mnafakhamu maana ya sensa? mnafahamu takwimu hizo zitaisadia vipi serikali kuweka mipango yake ya maendeleo?.. Maana naona kama vile mnafiiri serikali itapita nyumba hadi nyumba kugawa maendeleo..Ujinga mwingine wa hizi nidhamu za woga ndio maana Afrika hatujaendelea na hatutaendelea kamwe.
Mfumo kristu at work haiwezi kuwakandamiza Waislaam wakati wote, muda wote itafika mahala watashtuka na sasa nadhani mmefika maji ya shingo maana sioni sababu kabisa ya kuondoa kipengele hiki kama hakuna mfumo kristu maana mnaogopa ukweli utadhihirika.. Kama hamuogopi kitu hofu yenu nini haswa? Yaani tukijua kuna wakristu asilimia 60 au 30 tutafanya nini?. Zamani iliogopwa sana kujua idadi ya wanawake ktk nchi na sehemu za kazi ama mashuleni. Ilipokuja dhihirika wanaume wakaona wameondolewa nguvu zao. Sasa ni wakati wa kujua ukweli mwingine...
Vp yule mungu wa kishkaji anakuja duniani through uk*, kula kwenda choo, kisha kupigwa, akili zake zinazidi mbili?
Bila shaka huyu Mchungaji wenu naye hana akili maana huwezi kumwombea mtu ila anajiombea mwenyewe..Riziki ya mtu haitoki kanisani, Mungu huwapenda wote wenye elimu na wasiokuwa na elimu.leo nimefurahi kanisani mchungaji kasema tuwaombee wenzetu wa mlengo wa pili,tuwapende na tuwasaidie, tusiwadharau kwa sababu HAWANA ELIMU.
Sidhani kama wengine tutahesabiwa kwani nimeshuhudia Mi kwa macho yangu na hata nikasalimiana nao hawa waliopewa zoezi hili lakini wamewahesabu jirani zangu na kwangu wakatuacha.
Nikawauliza hapa hamtupitii? Majibu yakawa tutawarudia!
Na mpaka nang'atuka home hawajarudi tena!
Hiyo ndiyo SENSA!!
Bila shaka huyu Mchungaji wenu naye hana akili maana huwezi kumwombea mtu ila anajiombea mwenyewe..Riziki ya mtu haitoki kanisani, Mungu huwapenda wote wenye elimu na wasiokuwa na elimu.
Huo mlofanya na mchungaji wenu ni shiriki, elimu ya uchawi kuomba pengine sanamu mkifiri nyie wabora kuliko Mungu mwenyewe. Huyo Mchungaji pengine hana hata nusu ya ulokole lakini mnamuamini sana kumbe wewe mbora kuliko yeye. Jiombeeni nyie wenyewe mtafanikiwa...
hata mimi nimejifunza tofauti ya msomi na mpiga debe
mi wamemhesabu ma wife wangu pekee wakti sipo.