Senetor is seriously sick

@ The Finest nini kumtisha mgonjwa? Wengine tuna alergy na sindano bana angalia malaria zisijehamia kwetu.



@ senetor pole sana and get well soon.
 
Pole sn mkuu,mungu na akusaidie upone haraka!jaman inabidi tumkee huyu pepo wa magonjwa aliyeingilia wateule wa jf,na ashindwe na wateule wake wapone.
 
injection.jpg


POLE & GET WELL SOON SENETOR

Hiyo picha mkuu itamfanya mgonjwa ajione mgonjwa mara mbili zaidi
 
@ The Finest nini kumtisha mgonjwa? Wengine tuna alergy na sindano bana angalia malaria zisijehamia kwetu.
@ senetor pole sana and get well soon.
halafu msindano wenyewe umejaa midamu utafikiri ni ya kupimia taifodi au hiv,kha!
pole bwana Senator,be strong!
 
Pole senator

@TF; soft killer, sasa umeamua kuwanywesha kwa sirinji?
 
hakikisha untumia dozi ipasavyo ili uviue hivo vidudu viwili.
Pole, utapoaa enheee!
 
Back
Top Bottom