mmmhhh smile we,haya,ukute jamaa ni kibabu,avatar inakudanganya?Pole dogo
POLE & GET WELL SOON SENETOR
halafu msindano wenyewe umejaa midamu utafikiri ni ya kupimia taifodi au hiv,kha!@ The Finest nini kumtisha mgonjwa? Wengine tuna alergy na sindano bana angalia malaria zisijehamia kwetu.
@ senetor pole sana and get well soon.
Mwee wajameni huyu shetwani ashindwe ktk jina la yesu. Upone haraka senator
POLE & GET WELL SOON SENETOR