Napitia nyakati ngumu jamani, haya maisha acheni tu. Msaada wakuu

The ghost writer

Senior Member
Apr 5, 2023
179
263
Habarini! Wakuu natumaini humu wote ni wazima wa afya, jamani mwenzenu napitia nyakati ngumu sana kiasi nahisi hapa ndio mwisho wa maisha yangu.

Iko hivi nikiwa na miaka kumi na tatu nilifanyiwa ushirikina (kurogwa) na mama yangu wa kambo nikawa kama nimepooza kuanzia kwenye kiuno hadi kwenye miguu nikashindwa kabisa kutembea na pia nilipoteza hali ya usikivu kwenye masikio yangu nikawa sikikii vizuri. Kipindi hicho nilikuwa nipo form 1.

Suala hili sitolielezea sana maana ilikuwa ni simanzi na machungu kwangu na kwa mama yangu mzazi, na yote haya sijui nilimkosea nani mpaka nikawa hivi ila yote ni maisha namshukuru Mungu ALHAMDULLILLAH.. Basi miaka mingi imepita sasa takribani miaka 8 na nimeanza kutembea ila sio kivile miguu bado naiona mizito pia utembeaji wangu bado hauko Sawa na pia tatizo la kusikia napo bado lipo. NImepambana sana mpaka nikafika chuo kikuu ILa safari ya masomo haikuwa rahisi.

Kutokana na matatizo haya niliyokuwa nayo hasa kushindwa kusikia vizuri na miguu kunisumbua nimeamua kuacha chuo mwaka huu naona masomo yamenishinda maana kila nikiwepo darasani Mwalimu akifundisha simsikii vizuri na kuwa kama gogo tu darasani nikaona hapa napoteza muda nikawashirikisha wazazi mapendekezo yangu ya kuacha chuo. Wazazi wangu wamekubali japo kishingo upande, sasa hapa option nilikuwa nayo ni kufanya mambo mengi hasa biashara ila nikiangalia matatizo yangu hasa kutokusikia vizuri na suala miguu kunisumbua nakosa morali(hamu) ya kufanya biashara maana nimekuwa mtu wa kujitenga muda mwingi nakaa ndani mwenyewe.

Pamoja na hayo yote hali ya nyumbani sio nzuri kivile, maisha ni magumu japo hatukosi hela ya kula, hali hii inanifanya hata mtaji wa biashara nikose maana wazazi wangu wapi vizuri kiuchumi.

Kipindi hiki nimekuwa mtu wa kukaa ndani tu, nishakata tamaa na maisha najiona mzigo kwa wazazi wangu natamani kufa ili kuwapunguzia mzigo wazazi wangu maana kijana wao wanaomtegemea nimeshakata tamaa na maisha wakuu ni hayo tu nimeamua kushare humu angalau niutue mzigo unaonikabili.
 
Habarini! Wakuu natumaini humu wote ni wazima wa afya, jamani mwenzenu napitia nyakati ngumu sana kiasi nahisi hapa ndio mwisho wa maisha yangu.

Iko hivi nikiwa na miaka kumi na tatu nilifanyiwa ushirikina (kurogwa) na mama yangu wa kambo nikawa kama nimepooza kuanzia kwenye kiuno hadi kwenye miguu nikashindwa kabisa kutembea na pia nilipoteza hali ya usikivu kwenye masikio yangu nikawa sikikii vizuri. kipindi hicho nilikuwa nipo form 1. Suala hili sito lielezea sana maana ilikuwa ni simanzi na machungu kwangu na kwa mama yangu mzazi, na yote haya sijui nilimkosea nani mpaka nikawa hivi ILa yote ni maisha namshukuru Mungu ALHAMDULLILLAH..Basi miaka mingi imepita sasa takribani miaka 8 na nimeanza kutembea ila sio kivile miguu bado naiona mizito pia utembeaji wangu bado hauko Sawa na pia tatizo la kusikia napo bado lipo. NImepambana sana mpaka nikafika chuo kikuu ILa safari ya masomo haikuwa rahisi.

Kutokana na matatizo haya niliyokuwa nayo hasa kushindwa kusikia vizuri na miguu kunisumbua nimeamua kuacha chuo mwaka huu naona masomo yamenishinda maana kila nikiwepo darasani Mwalimu akifundisha simsikii vizuri na kuwa kama gogo tu darasani nikaona hapa napoteza muda nikawashirikisha wazazi mapendekezo yangu ya kuacha chuo. Wazazi wangu wamekubali japo kishingo upande, sasa hapa option nilikuwa nayo ni kufanya mambo mengi hasa biashara ila nikiangalia matatizo yangu hasa kutokusikia vizuri na suala miguu kunisumbua nakosa molari (hamu) yakufanya biashara maana nimekuwa mtu wa kujitenga muda mwingi nakaa ndani mwenyewe.

Pamoja na hayo yote hali ya nyumbani sio nzuri kivile maisha ni magumu japo hatukosi hela ya kula, hali hii inanifanya hata mtaji wa biashara nikose maana wazazi wangu wapi vizuri kiuchumi.

Kipindi hiki nimekuwa mtu wa kukaa ndani tu nishakata tamaa na maisha najiona mzigo kwa wazazi wangu natamani kufa ila kuwapunguzia mzigo wazazi wangu maana kijana wao wanaomtegemea nimeshakata tamaa na maisha wakuu ni hayo tu nimeamua kushare humu angalau niutue mzigo unaonikabili.
Wewe si ghost?
 
Kama hamjui vitu ni bora muwe mnauliza au kukaa kimya. Ghost writer ni waandishi wa Article na vitabu amabao huwa wanawaandikia watu lakini credit hupewa mwenye kitabu kama ndio kaandika. Mfano mwandishi shia Labeouf huwa anawandikia wengi tu.

Sasa nyie kuona tu neno Ghost tayari mshaanza mambo yenu ya kiswahili/speculation.

Wewe si ghost?
Mna jiita majina mabaya mabaya......MNO..
 
Kata vitu vyote ila usikate TAMAA

Pungukiwa vitu vyote ila usipungukiwe IMANI,

Kila kitu kinatokea kwa makusudi, Keep moving kaka.. Mungu ndo mtoa riziki na Siku hazifanani

Tuliza akili, The end always justifies the means.

GOODLUCK
 
Habarini! Wakuu natumaini humu wote ni wazima wa afya, jamani mwenzenu napitia nyakati ngumu sana kiasi nahisi hapa ndio mwisho wa maisha yangu.

Iko hivi nikiwa na miaka kumi na tatu nilifanyiwa ushirikina (kurogwa) na mama yangu wa kambo nikawa kama nimepooza kuanzia kwenye kiuno hadi kwenye miguu nikashindwa kabisa kutembea na pia nilipoteza hali ya usikivu kwenye masikio yangu nikawa sikikii vizuri. kipindi hicho nilikuwa nipo form 1. Suala hili sito lielezea sana maana ilikuwa ni simanzi na machungu kwangu na kwa mama yangu mzazi, na yote haya sijui nilimkosea nani mpaka nikawa hivi ILa yote ni maisha namshukuru Mungu ALHAMDULLILLAH..Basi miaka mingi imepita sasa takribani miaka 8 na nimeanza kutembea ila sio kivile miguu bado naiona mizito pia utembeaji wangu bado hauko Sawa na pia tatizo la kusikia napo bado lipo. NImepambana sana mpaka nikafika chuo kikuu ILa safari ya masomo haikuwa rahisi.

Kutokana na matatizo haya niliyokuwa nayo hasa kushindwa kusikia vizuri na miguu kunisumbua nimeamua kuacha chuo mwaka huu naona masomo yamenishinda maana kila nikiwepo darasani Mwalimu akifundisha simsikii vizuri na kuwa kama gogo tu darasani nikaona hapa napoteza muda nikawashirikisha wazazi mapendekezo yangu ya kuacha chuo. Wazazi wangu wamekubali japo kishingo upande, sasa hapa option nilikuwa nayo ni kufanya mambo mengi hasa biashara ila nikiangalia matatizo yangu hasa kutokusikia vizuri na suala miguu kunisumbua nakosa molari (hamu) yakufanya biashara maana nimekuwa mtu wa kujitenga muda mwingi nakaa ndani mwenyewe.

Pamoja na hayo yote hali ya nyumbani sio nzuri kivile maisha ni magumu japo hatukosi hela ya kula, hali hii inanifanya hata mtaji wa biashara nikose maana wazazi wangu wapi vizuri kiuchumi.

Kipindi hiki nimekuwa mtu wa kukaa ndani tu nishakata tamaa na maisha najiona mzigo kwa wazazi wangu natamani kufa ila kuwapunguzia mzigo wazazi wangu maana kijana wao wanaomtegemea nimeshakata tamaa na maisha wakuu ni hayo tu nimeamua kushare humu angalau niutue mzigo unaonikabili.
Pole sana. Ila kumbuka kuna wenye maisha magumu kuliko wewe hivyo jipige moyo konde. Ushauri wangi ni huu: HUJALOGWA!! Yes, hujalogwa na pengine ungekuwa umeenda hospital tatizo lako lingekuwa limeisha. Kuhusu tatizo la kusikia, kuna vile vifaa vya kuvaa watu wenye changamoto wa kusikia. Jitahidi uvipate na wapo binadamu wengi sana wanaishi maisha ya kawaida kwa kusaidiwa na hivyo vifaa. Narudia tena: hujalogwa ila mawazo yako ndiyo yanakuloga. Mwisho hebu jaribu kusoma historia za watu waliopitia kwenye changamoto kali kabisa lakini hawakukubali ziwe maanguko yao kama huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom