Jamani wadau wa MMU,mwenzenu nasumbuliwa na mafua balaa,nimeshndwa hadi kuhudhuria pindi leo.niombeeni nipone haraka,pia anae jua dawa ya mafua anisaidie,maana yananinyima raha mwenzenu.
Mallaba hii dawa mbona mie hainisaidiii?Nunua Coldrill utatumia just one day the next day u will be fine. Wish u quick recovery
du! atakayekuoa ataipata fresh.Sasa mafua ndo yakutangaza unaumwa sana? Na wanaoumwa kweli watasema nini?