Inabidi uzuiwe kama kipindupindu usionane na watu!
ukiniona hali niliyo nayo,lazima utanihurumia lizy.
Unamaanisha awe banned na mods asije ambukiza wana jf wengine?
Sasa mafua ndo yakutangaza unaumwa sana? Na wanaoumwa kweli watasema nini?
Mh nilishtuka kwelimtalia mamba mamba weee
siku mtaliwa simba hatutachukulia siriaz.
Tunakuja tamamaki, mmebaki mifupa tu.
Sasa mafua ndo yakutangaza unaumwa sana? Na wanaoumwa kweli watasema nini?