CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Jana nilienda mahali na rafiki angu mmoja hivi,sasa tulipofika huko tulipoenda wakati nmeshuka tu kwenye gari chini nikaona sh.50 "nikaiokota" kisha nikwamwambia mwanangu, "ndugu yangu leo siku yangu itakua safi sana nimeokota hela" akaniuliza sh.ngapi? nikamjibu sh.50..
akanicheka kwa dharau,si unajua ile cheko kisha akaniambia "hebu nione hiyo 50" nikampa alipoishika akairusha mbali kbsa yani aliitupa kisha akaniambia "acha wenye shida nayo waiokote wewe unabania riziki za watu"..
kusema la ukweli sikupenda nilinuna nikamwambia mwanangu naomba sh 50 yangu,akaniambia chukua 5000 akanipa noti ya 5000 kwakweli nilichukua ile 5000 ila bado moyoni mwangu nilikua nawaza ile sh.50 yangu iliyotupwa.
Hii si mara yangu ya kwanza mimi kuokota sh.50 na sh.100 kusema ukweli tokea moyoni mimi nikiziona hizi coin huwa naziokota kisha natia mfukoni,siwazi mara mbili wewe nichukulie utavyoncukulia ila ndio hvyo...
Haya leo sema ukweli na wewe ukiona sh.50 utaiokota au huikoti? au ilishawahi kuku kuta upo kwenye dala dala mtu anakwambia "kaka umedondosha hela yako" kuangalia chini unakuta n sh 50,halafu ile 50 si yako unajua kbsa hii si yangu,Huwa unafanyaje? unaichukua au huichukui?
Natamani watu mseme ukweli tu leo...
akanicheka kwa dharau,si unajua ile cheko kisha akaniambia "hebu nione hiyo 50" nikampa alipoishika akairusha mbali kbsa yani aliitupa kisha akaniambia "acha wenye shida nayo waiokote wewe unabania riziki za watu"..
kusema la ukweli sikupenda nilinuna nikamwambia mwanangu naomba sh 50 yangu,akaniambia chukua 5000 akanipa noti ya 5000 kwakweli nilichukua ile 5000 ila bado moyoni mwangu nilikua nawaza ile sh.50 yangu iliyotupwa.
Hii si mara yangu ya kwanza mimi kuokota sh.50 na sh.100 kusema ukweli tokea moyoni mimi nikiziona hizi coin huwa naziokota kisha natia mfukoni,siwazi mara mbili wewe nichukulie utavyoncukulia ila ndio hvyo...
Haya leo sema ukweli na wewe ukiona sh.50 utaiokota au huikoti? au ilishawahi kuku kuta upo kwenye dala dala mtu anakwambia "kaka umedondosha hela yako" kuangalia chini unakuta n sh 50,halafu ile 50 si yako unajua kbsa hii si yangu,Huwa unafanyaje? unaichukua au huichukui?
Natamani watu mseme ukweli tu leo...