Sema ukweli wako, ukiona Tsh. 50 mbele yako unaiokota au utaipita kama hujaiona?

Ukiondoa wachache wenye imani za kishirikina,kuacha kuokota hela uliyoiona dhahiri shahiri ni dharau moja mbaya sana.

Hii nibila kujali unapesa nyingi ama lah,thamani ya pesa ni kubwa na heshima yake ni ya hali ya juu sana.

Duniani watu wote wanaoamka aubuhi na kutoka asilimia 90 wanakwenda kutafuta pesa kuacha kuokota pesa ni kibri.na kibri ni sifa ya Mwenye enzi Mungu.

Mwanaadamu hutakiwi kua na kibri .okota nenda katoe sadaka,pita kampe mwenyeuhitaji,kuiacha kunaweza kuifanya ikapotea na ikakosa kumfikia mwenyeuhitaji.Mimi nafsi haiwezi kukubali kutookota pesa niliyoiona .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kutana na hela maishani mwangu,siku nkikutana na hiyo 50 ntaokota lazima ili ntoe gundu
 
Mimi nikitembea huwa siangalii chini, macho mita kadhaa mbele. Sasa ni nadra sana kuona pesa. Kingine kinachonifanya nisiokote sarafu kuna classmate wangu alienda kwa mganga na moja ya dawa alizopewa alitakiwa achanganye kwenye maji na sarafu then akazitupe njiapanda. Tangu wakati huo nimekuwa na imani kwamba sarafu zote za kuokota zina ukalumanzila.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu we n mchumi Sana eeh

One love
Hamna mkuu ila nadhani sijafikia level za kudharau senti/hela ambayo

naweza iongezea mahali ikafanya jambo flani na likaniokoa kwa wakati.

Labda ningewauliza wale ambao hawaokototi hizi sh 50 (kwa waliopo dar)

Mkienda kukata ticket mwendokasi mkatoa sh 700,huwa mnasubiri zile sh.50 zenu

au huwa mnazipotezea tu mnaondoka na mambo yenu mengine,naomba jibu lenu tafadhali.

Tuttyfruity
miminimkulimaakachekasana
Pyaar
Matumbulu
Scars
Mamndenyi
Pennstatepro
google helper
Kirchhoff
kwenda21

Nyie ndio ndugu zangu msio okota sh.50,vipi kwenye chenchi ya sh.50 huwa mnapokea chenchi

zenu au mnaaachaga,na kama mnaacha mnaachaga kwa sababu zipi kuu eti ndugu zangu nyie.
 
Mimi nikitembea huwa siangalii chini, macho mita kadhaa mbele. Sasa ni nadra sana kuona pesa. Kingine kinachonifanya nisiokote sarafu kuna classmate wangu alienda kwa mganga na moja ya dawa alizopewa alitakiwa achanganye kwenye maji na sarafu then akazitupe njiapanda. Tangu wakati huo nimekuwa na imani kwamba sarafu zote za kuokota zina ukalumanzila.


Sent from my iPhone using JamiiForums
ila ukikutana na sarafu huwa ka moyo kanatamani kuokota

ila mwili unagoma kuchukua reaction si et mkuu?
 
Hamna mkuu ila nadhani sijafikia level za kudharau senti/hela ambayo

naweza iongezea mahali ikafanya jambo flani na likaniokoa kwa wakati.

Labda ningewauliza wale ambao hawaokototi hizi sh 50 (kwa waliopo dar)

Mkienda kukata ticket mwendokasi mkatoa sh 700,huwa mnasubiri zile sh.50 zenu

au huwa mnazipotezea tu mnaondoka na mambo yenu mengine,naomba jibu lenu tafadhali.

Tuttyfruity
miminimkulimaakachekasana
Pyaar
Matumbulu
Scars
Mamndenyi
Pennstatepro
google helper
Kirchhoff
kwenda21

Nyie ndio ndugu zangu msio okota sh.50,vipi kwenye chenchi ya sh.50 huwa mnapokea chenchi

zenu au mnaaachaga,na kama mnaacha mnaachaga kwa sababu zipi kuu eti ndugu zangu nyie.
Mkuu hiyo 50 nimeitolea jasho, nimeitoa kwenye hesabu zangu sina budi kuisubiri...Tena nitaisubiri sana.
 
Juzi nilipita karibu na msikiti nkakuta coin mbili za 200 na moja ya 100 jumla 500...ila sikuziokota niliogopa kurogwa albadr uso uje kisogoni
 
Nitaiokota hizi TSH 50 hua nazitumia kutolea pesa kwenye M-pesa kukwepa makato makubwa mfano nataka kutoa 20,000 nitatoa 19,950 kisha ntampa mtoa huduma hiyo 50 na yeye atanipa 20,000 kwa kufanya hivo kuna vimakato nimekwepa kama TSH 600 nikifanya hivo kwa transactions 100 nitakua nime save TSH 6,0000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom