CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
- Thread starter
- #41
Hao watoto nao,hyo nyumba hamuokoti hela nyieKuna 50 moja imeanguka chumbani karibu na mlangoni toka juzi Mimi na wife tunaipita tuu.. hata watoto wakija kusalimia asubuhi wanaipita tuu.. sijui kwa nn. Sa HV nimeona huu Uzi Niko mbali na home nikaikumbuka.
ifagieni basi muitupie huku controla nilipo asee