Naitumia katika manunuzi tuikatokea hujakutana na mtoto hadi unafika nyumbani inakuwaje sasa mkuu?
Poaukitembea angalia chini mkuu,utaziona nyingi tu siku hizi
mkuu sijaiona hiyo hela,siwezi okotakwahyo mkuu huokot?
Mkuu sio kila akifanyacho mwingine na mwingine nae akifanye. Kuwa na pesa hakumfanyi mtu asiokote pesa iliyodondoshwa, vilevile kutokuwa na pesa hakumfanyi mtu aokote pesa iliyodondoshwa.Kabisa..et haokot 2000...mo mwenyew anaokota 2000..huyo platnumz anaokota 2000...mi mwenyew naokota 2000
Sent using Jamii Forums mobile app
ni bahati tu mkuu,hujawahi okota briefcase la mi dollar?mimi siachagi hela mpaka coins za kigeni naokota,ila bado najiuliza hivi mnaookota noti zaidi ya moja huwa manafanya fanya vipi???yaani mtu anakwambia nimeokota laki aisee au 60 elfusijawahi.
Huyo ni adui inabidi umkwepe kama korona
Ndiyo nitazuga sijaionauki iona je?
Dah mkuu uko makini Sana , ukiendelea hvo utafika mbalileo nmeokota sh50 ipo mfukoni wale makomda wa kawe mbagala kesho watakutana na mia 7 hamsini maana wana tabia ya kukata mia nane kila cku eti hawana hamsini
Pipi kifua shilingi 100 mkuu..Atanunua hata pipi kifua na atakuwa amechangia uchumi kwa kiasi chake..
NB: Nawapenda sana watoto ni kama vile kaugonjwa kwangu..
Mkuu we n mchumi Sana eehHao watoto nao,hyo nyumba hamuokoti hela nyie
ifagieni basi muitupie huku controla nilipo asee
Utapeliwaje Tanzania hii? huo ni ushamba tuhusimuite mshamba mkuu maana hata mimi nishawahi umizwa na hao raia
Siwezi kuacha safari yangu nianze kuokota 50kweli unaipita,husikii kuumia rohoni?