ighalamu
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 393
- 643
We ni me au ke?Kwa joto la dar huwezi kuvaa nguo ya ndani kwa siku mbili, inabidi kila siku uvae nyingine tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni me au ke?Kwa joto la dar huwezi kuvaa nguo ya ndani kwa siku mbili, inabidi kila siku uvae nyingine tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
aseee,huwa haunuki?haupati kinyaa ukitazama?badilika we jamaa,nguo ya ndani ni siku moja tu iwe vesti,chupi au boxer. Kama huna pilika,say umechil tu home, labda,labda siku mbili.Hello
Kama title inavyo sema,sitaki kusema mengi Binafsi nguo yangu ya ndani naweza kuiva wiki 3 mpaka baadhi ya maeneo yanakua meusi Je wewe unavaa kwa muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello,
Kama title inavyo sema,sitaki kusema mengi Binafsi nguo yangu ya ndani naweza kuiva wiki 3 mpaka baadhi ya maeneo yanakua meusi.
Je, wewe unavaa kwa muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaHakuna anafanya ujinga huu duniani kote.
Portfolio | 2020
wote waliosema wanabadilisha kila siku wengi ni waongo narudia acheni uongo labda hyo jinsia nyengine sawa japo sio wote wanabadili kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanawake nadhan hamnaKuna mwanamke ambae habadili kwa siku nzima?
😂😂😂Ninazo nne, mwezi una week nne fanya hesabu mwnyewe
Uko sahihi bossHuu utafiti wako unataka ukupeleke wapi. Yaani tujadili uvaaji chupi karne hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vzuriInategemea sana na aina ya shughuli unazofanya.
Mi hua nabadili mara 2 au 1 kwa siku.
Nikienda 'jogging' asubuhi pekee nabadili mara 1.
Nikienda asubuhi na jioni nabadili mara 2.
Kwa soksi hua ni mara 1 kwa siku.
Sidhani kama kuna utaratibu maalum wa kubadili.
Umejuaje anaishi dsm? Je kama anaishi iringa?Huo ni ujanja au ushamba?? Si utanuka!! Hujisikii uvundo?? Na hili joto la dsm... MfalmewaKiha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vipi huko kwako unajua nguo za ndani ? Mada kama kavu sana hii
Sent using Jamii Forums mobile app