[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka ile scene,
Ipo mkuu tena tuna shortage ya walimu wa sayansi Wengi wamehama zao. karibu sanaa baba pastaHakuna nafasi ya kufundisha Biology nije nichape mapindi hapo πππ
Umeshanichanganya akili yangu kabsa
Emu tuone ulivyochanganyikiwa..Umeshanichanganya akili yangu kabsa
Sasa hivi kahamia team Sophy. Eti Sophy nenepa kama mke wa pili ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka ile scene,
Ibada njemaβ¦Ngoja niingie kwa masjid Kwanza nitarud kwa ajili yako
Bado tunasherekea Pasaka so nyama kama kawa tunazilaπIjumaa kuu hatuli nyamaa πππ
Njoo uchukue ππππ saa nne na saa tanoπππ ninunulie shogaa
Weee nitakua nakitumia kuangali BSS, utakua umefanya jambo la msing sana
Sasa mipaka ikizidi wanaogopa had somo lako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee shos wanafunzi wajinga sana ujuee ni vizuri kuweka mipaka !!
ππ Nije nifundishe bible knowledge na Biology wacha nifanye kuomba kwa kuandika application letter au nije kuonana na Headmaster tuIpo mkuu tena tuna shortage ya walimu wa sayansi Wengi wamehama zao. karibu sanaa baba pasta
Utanenepa ushindwe kufaidi mengine.. Punguza kula ππBado tunasherekea Pasaka so nyama kama kawa tunazilaπ
Hapana tunawa discipline kidogo wakae kwenye mstariSasa mipaka ikizidi wanaogopa had somo lako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile familia ni πππAzam Tv burudani kwa wote. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kombolela hoyeeeee!!! Mwadawa, tukae, govinda.
Bi kikala. Kobisi, chollo,
Napenda maisha ya vile, yaan ningekulia maisha ya vile ninge enjoy sana. [emoji6][emoji6][emoji6]
Napenda heka heka za kiswazi. Uwiiiiiii
πππUna macho ya kimahaba midomo ya kiss kope za mitego shingo ya kupiga love bite miguu ya kuendea royal tour [emoji9][emoji9][emoji11][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule ni mwehu, alinichamba siku hiyo chimbo sina hamu nae kabisa na ujuaji wangu wote kwake nimenyoosha mikono.Sasa hivi kahamia team Sophy. Eti Sophy nenepa kama mke wa pili [emoji16][emoji16]
Unanifanya nitamani kuwa muigizaji wallahIle familia ni [emoji119][emoji119][emoji119]
Ewaaaaah!!! [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Hapana tunawa discipline kidogo wakae kwenye mstari
Njoo kwa Hm tu tena Waislamu wao wana EDK - Elimu Ya Dini ya Kiislam ila bible knowledge hakuna karibu sana!ππ Nije nifundishe bible knowledge na Biology wacha nifanye kuomba kwa kuandika application letter au nije kuonana na Headmaster tu
Mie ndo hata sielewi mnachozungumzia ngoja nikasome huo ubuyu kwanza niokotemo mawili matatu!πππ€£Unanifanya nitamani kuwa muigizaji wallah
Tena ndo tamthilia ile, ningeua mbayaaa. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Soap operas ukishaanza kuzifatilia, kuacha sio rahisi.Ooh yeah
Napenda soap operas kwa hiyo hapo wamenidaka