Kiukweli hata mie nmeumia, afu jamaa hakujali wala nn, yaan wanatesa watu kihisia.
kwa umbea uko vizuri, wee chimbo elf 30 kila mwezi kulipia, na nalipia ili nisikose umbea na maubuyuuu.
Ntakuja na wa R vs A, wacha wachambane siku hiyoooo, mbavu zangu mie,