Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Punyeto ni mbaya kwa afya ya akili, nafsi na hata kiroho .. Unapo ona kuna ufanyaji wa punzyeto kuna mahaba roho.. ni mbaya mahaba roho yana haribu maisha.. kila kitendo cha kumwaga mashahawa au kufikia mshindo ni sawa na kutoa sehemu ya uhai wako na baraka ... Tokomeza Punyeto
Baba mtumishi, sio kila kitu lazima uhusishe na Imani/Dini. Aaaaah wee hapana kwa kweli, khaaaah.
 
hapa akili na nafsi vinaungana , ile (ecstasy) mnaanza isikilia toka ikiwa kwa mbaali inakuja mdogo mdogooo kama haina miguu yaani inatambaa vileView attachment 2230550
Kaka mbona mapema sn..Hizi mada za usiku,sasa hivi ni mida wa kutekeleza ilani ya CCM,kazi iendelee,mama anaupiga mwingi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom