Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,177
Sijui kwanini nimecheka kwa sauti… ila nimechekaa 🤣🤣🤣
Vioja dot com
Sijui kwanini nimecheka kwa sauti… ila nimechekaa 🤣🤣🤣
Mbona unanicheka mkuu? nipe ushauri....
Babu?Mpaka mababu zenu tupo mbona?![]()
Unaonaje ukatumia ya kwangu??Mbona unanicheka mkuu? nipe ushauri....





Una macho mazuri.
Ulipendeza hizo nywele mdogo wetu
Mkurugenzi mpendwa...
Niite kwenye mambo ya maana...
Siyo haya ya makahaba wa mitandaoni humu wasio na aibu wala heshima kwao wenyewe, wazazi wao na Mungu wao...![]()




Hizo avatar nimekaa chini nikatafakari sana nikaona zina nyota kali sana.. kuna siri ndani yake..Unaonaje ukatumia ya kwangu??
Tutrend kidogo![]()





Hizo avatar nimekaa chini nikatafakari sana nikaona zina nyota kali sana.. kuna siri ndani yake..








Jamani sijamuona Mimi 😁😁Haha nchi yetu inaendelea kuwa na wazungu.
Tumevunja rekodi kwa kuwa na NYATI MZUNGU🤣
Thanks 😊Una macho mazuri.
Nimefunga nini mama mchungaji
😁😁😁 dogo janjaUlipendeza hizo nywele mdogo wetu
Watakuja kukupa mwongozo Mkurugenzi mpendwa ...sema tu wanadamu ni wabishi sana
Nani amechafua dala mia na hayo maneno ya pesa mwanaharamu?







Chakula na maombiNimefunga nini mama mchungaji