Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaweza kukamatwa hivihivi unajiona..
Ila uliupiga mwingi sana, hakuna kukata tamaa πŸ˜‚ πŸ˜‚ , kujipa moyo utambadilisha kumbe na yeye anawaza kukubailisha.
 
Unaweza kukamatwa hivihivi unajiona..
Ila uliupiga mwingi sana, hakuna kukata tamaa πŸ˜‚ πŸ˜‚ , kujipa moyo utambadilisha kumbe na yeye anawaza kukubailisha.
Acha kabisa na hasa kwenye ma casino au night club sijui huwa zina nini, ukinasa mahala unakuwa kama akili umezifungia sehemu.. utakuja kushtuka baada ya kuachana na mtu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. ile ilikuwa machine mzee roho ingeniuma sana na sijui nini kiliniambia nirudi baada ya kukata tamaa, na hakuwa mdangaji maana route yote ile 50/50 hadi tuanaachana .. kama angekuwa nyonya damu ningeishaaa

Hapo wote mkiwa na akili ya kubadilishana ndio mtihani lazima mkwaluzanae sana , hadi mmoja akubali kuwa chini ya mwenzake ila mzee ulikuwa na utulivu unakula moshi ya wa bangii kwa uvumilivu mkubwaaa sanaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ila ndio ivyo
 
vitoto ndio vinatangaza tuone vime barehe ila sie watu wazima kimya kimya tunaacha huko huko kimya kimya .. hapa tunachekeana toka 2009 mie nawala humu sijala kuanzia mwaka jana tuu ndio nilivimbiwaaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwani wakitangaza shida Iko wapiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaweza kukamatwa hivihivi unajiona..
Ila uliupiga mwingi sana, hakuna kukata tamaa πŸ˜‚ πŸ˜‚ , kujipa moyo utambadilisha kumbe na yeye anawaza kukubailisha.
alafu matoto ya Arusha mengi yapo hivyo, mie kuna moja nafikiri kama mwaka 2013 au 2012 nalo zurii balaaa mahala lina nipulizia moshi wa sigara mala linanipa nivute naliambie mie sivuti bwana , kila linachotumia linataka na mie nitumie nikawa nalikatalia ila zuri liliniendeshe ki Arachuga Arachuga linafanya linavyotaka yaani, badae nimeondoka nalo nimechoka kweli ila kumbe chumbani pole oga kama kunguru wa baraaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. ila hivi karibuni nilikutana nalo maskini limeungua kidogo chozi la huruma linimwagike dah limeisha haya magonjwa acha tu
 
We jamaa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ulitisha sana, kwa hio ushapiga au?
 
Asee, basi itakua wapo hivyo.
Nimesikitika ameungua, pole yake sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…