Selfika na JF: Snap it. Show it

Tecno hoyee
Huwa ni simu nzuri pia ukipata yenye megapixel nyingi picha inatokea vizuri kweli .

Wengi wanaotumia Samsung hawapendi kurudi kwa mchina tena au watumie iPhone ,wewe upo tofauti .
Samsung ni hadhi tu ya jina
Ila tecno ni simu bora sana.
 
Unajua kumsema sema au kumtajataja mtu Wakati yeye hana muda nawewe ni dalili kuwa yeye ni threat kwako!! Tuendelee kuselfika mazee
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ila kwani tumetaja mtu, maana akihisi ametajwa ndio anakuwa amewashwa washwaaa.. mada ilikuwa usaliti na kupindua meza kwenye real life ipo kila maeneo kitaa na hata hapa JF haya mambo kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…