Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba nimalizie kutafuna kwanza nakuja πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!!
πŸ˜…πŸ˜… Tafuna tyuuu , eeh unatoka na mtu wa mwenzako au umepundua yeye kawa ex na wewe umekuwa present sasa unajionesha onesha nini kama kichwani hakuna kamasi au kutojiamini na huu huwa ni uchawi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… umepindua meza umejiona mjanja kausha liwa kimya kimya ukifika wakati wako wa kupigwa chini inakuwa fresh πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Madam leo kichwa yangu ya motooo inafuka moshi unisamehe sijui hata naandika nini πŸ˜…πŸ˜…
 
Eti ajiegeshe

Mbinguni huendi



Ila nimekaa nikajaribu kuwaza sababu Kwa upande mwingine.
Nadhani hata watu tulionao walitoka sehemu nyingine
Kutoka kwao sehemu nyingine na kuja kwetu haitufanyi tusiwapokee..
Najaribu tu kuwaza upande wa pili


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…